Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kudadadadddeki jana nimepatia matokeo yote ya ligi za ulaya exactly. Tell you what guys? Nimeamka leo saa 5 kumbe nililala na viatu! Jana niliingizia serilali mapato ya kutosha thru breweries kupitia vinywaji vyake vitukufu.

umepata sh ngapi mkuu,
 
dadek zenu AS ROMA , yani ninyi ni wa kupgwa 3-1 na CATANIA jalala la points ! Maskini mkeka wangu unachanika mapemaaa...
mkuu roma kapigwa 4-1 sio 3-1 ! tena kashindiliwa kama mtoto hadi HT 2-1 na cha pili akaongezwa tena 2, ft 4-1, inamaana roma walizidiwa kweli mbinu kabisaaa, au ndio kamari za mafia wa italiano !!!

Aliweyeweka 1-1 odd ni zadi ya 20, au 1-1&3+ au 1-1&GG au odd ni zaidi ya 30 ! kama ni umafia wamevuna sana kwa hii match hawa waitaliano...!!
 

msim ujao ni mwendo wa gg tu
 
ijumaa wapi wakati kila siku kuna match..... ukiamua ni j3 hadi sunday full kujibetisha



mbona mwaka mzima ni msimu full matches america, asia africa, ooooh ukisema msimu wamaanisha ulaya tu?

kwa ulaya si unajua tena ndo penye uhakika. Huko Amerika sijui Asia ni kubahatisha kwa asilimia kubwa.
 
Habari wakuu.

Naomba mnipe maelezo kuhusu hii biashara sababu nataka niingie na mimi ila sielewi jinsi ya kuucheza na jinsi mtu anavyokula hela na nini maana ya odds. Nitashukuru sana kama nikipata majibu kuhusu hili na naamini mtanisaidia. ni hii M-bet ya vodacom

NATANGULIZA SHUKRANI
 
Wadau kama kawa mkeka wangu leo ni kwa wafuatao
juve,r.sociedad,arsenal,aik,steat na viking! Nimemaliza hapa natupia elfu 25/=tu tutaongea kesho!
 
Wadau kama kawa mkeka wangu leo ni kwa wafuatao
juve,r.sociedad,arsenal,aik,steat na viking! Nimemaliza hapa natupia elfu 25/=tu tutaongea kesho!

njoo tuongee kaka,,,
 
Fiorentina washakosa jipya inanibidi niingie tena sokoni...unafungwaje magoli yote haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…