Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

BOOOOOOOM

BET WON:wof::wof::wof::wof::wof::wof:

Meridian.PNG

Mayombo usiogope maadui
 
Mkuu hizi elfu 10 ni mpaka ufanye combo ndo usikie raha ya return.

Wanauchumi wanasema high risk high return pia large stake high return.

Nilisoma sana hapa foruk nikaona accumulation zina hasara sana kuliko singles.

Ukienda ktk betting shop yoyote uk ukiweka single bet alafu mkwanja mwingi, cashier lazima akuangalie usoni vizuri
 
kweli bro mfn ukiweka team moja ukaweka laki moja uhakika wa kula ni 90%

Ndo maanake sababu analysis ya team moja inakua more accurate than team nyingi. Sababu inafika kipindi unataka odds ziwe nyingi unasema ngoja nijaribu na hii nione Kumbe chaka.
 
We jamaa una kizizi wewe c bure, embu nipe namba ya mganga wako..

Hapana mkuu ni kujipanga tu mtu mzima, kinachotakiwa ni discpline pindi utakapo win bet yaani usiendelee kwa siku hiyo. Subiri next day hata kama umeshinda elfu 40.
 
Daaah kiukweli natamani sana niwe nabet kama huyu jamaa maana bet zake nyingi kashinda
 
You and me both brother

Kweli mkuu maana huyu jamaa anaweka laki anapiga 285000,240000 sisi twaweka 5000 tukisubiri milioni tutakesha sana.
Huyu jamaa ana uhakika wa kupiga 500,000 kwa siku kama faida kwa timu tatu tu.


inataka moyo sana,

Yeah moyo watakiwa sana ila ndio biashara ilivyo


As long as tupo kwenye forum moja. .kesho nitapost tena sahizi nasubiri mkeka mmoja utick ndo nilale kwa amani.

Dah mkuu umetufumbua macho yetu. Ila kiweka laki unaaweza usilale usiku
 
Denmark wanataka kuniharibia weekend

Unaona sasa, haya mawazo ndio mabaya watakiwa ulale usubiri kesho


Mkuu ni very simple tu, kila siku ya game chagua team moja ya uhakika weka mkwanja wa maana,

Yeah simple ila laki kubwa kuipoteza kwa timu moja. Mie huwa namwamini Chelsea pekee na Zenit huwa hawaniangushi ila Man u hata ibakie ndio timu yenyewe tu na ina odds 100 sitaiwekea kamwe
 
Georgia nae karudisha sasa hapa naaanza ona machungu moyoni taratiiiibu watu washaanza tupa karatasi zao
 
Dah mkuu umetufumbua macho yetu. Ila kiweka laki unaaweza usilale usiku
Umenichekesha sana sababu hapa nina timu nasubiri ifunge goli moja tu nilambe mpunga.
Sasa nikipimwa bp hapa nitaanzishiwa dozi ya presha na hiyo tim ilishapigwa 2 bila. Ipo kwenye live play ligi ya finland pk 35 na HIFK
 
Biohazard wewe ni noma sana. Halafu cha kushangaza timu unazozidhamini hata hazijulikani kabisa.

Kesho mkuu nakuomba ukibet tupia hapa. Natembelea nyota yako boss. Ila mimi nitaanza na buku 50. Kilo nyingi sana aisee. Maana unaweza usilale eti kama alivyojisemea andybird314.

Heheehehehee
 
Biohazard wewe ni noma sana. Halafu cha kushangaza timu unazozidhamini hata hazijulikani kabisa.

Kesho mkuu nakuomba ukibet tupia hapa. Natembelea nyota yako boss. Ila mimi nitaanza na buku 50. Kilo nyingi sana aisee. Maana unaweza usilale eti kama alivyojisemea andybird.

Heheehehehee

Hahahahahaha.....umenichekesha sana sababu unatakiwa usahau kabisa kama umebet ww subiri kesho uangalie mzigo.
 
Back
Top Bottom