Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

wakuu nilikuwa kazi zimenibana kidogo, Ila hapa mimi napenda kubet basketball kipengele cha magoli mengi kwani naona ni rahisi kupiga pesa na pesa unayopiga katika mechi ni almost twice ya pesa unayowweka. maana odds zake zinakuwaga around 1.7 na 2.1. Hapa huwa napenda kuweka over, kwa beginnerinatakiwa uweke mzigo pale mechi inapokuwa katika imemaliza 1st quater, Hapa mtu unakuwa na wezo wa kupredict kwani simply prediction ambayo huwa naitumia kupata jumla ya magoli kwa mechi yote ni huwa nachukua jumla ya magoli ya first quater then nazidisha kwa 4, then hapo napata picha kuwa mechi inakwendaje.

Baada ya kuona hivyo, then unaangalia kama limit ya OU odds alokuwekea je somehow zinaendana na jawabu ulopata baada ya kuzidisha mara 4.? if yes, weka mzigo katika category ya over, kwa maana kwa research niliyoifanya individual quater zinazofuatia huwa zinakuwaga na sum ya magoli mengi kuliko quater ya kwanza or sum ya quater ya 2, 3, 4 kwa pamoja huwa zinakuwa zaidi ya mara tatu ya quater ya kwanza.

kumaster vizuri, just anza kwa kutest kuweka pesa ndogondogo ili uwe unachukua mazoezi , theni ukimaster ndio uanze kujilipua. kwa wale wanaotumia simu tumia browser ambazo zinarun javascript files, Opera hairun javascript, browser inayorun nzuri ambayo javascript na ninayoitumia mimi ni Baidu browser kwa wale wa android waweza pakua katika app store.

Hii ni nzuri kwani inakufanya uwe unamonitor mtaji wako unavyokwenda katika soko la hisa, sometimes nikiona kuwa mbele hakuendeki (kama game inaelekea kuwa unde what nilichoweka) huwa narudisha mpira kwa kipa kwa kugenerate mkeka mwingine ambao una pesa category ya under ili mwisho mikeka ijicancel out na niwe na 0/minimum pprofit/loss. sometimes huwa navamia tenis, kwani yenyewe almost 90% ya games zake mwenye odds ndogo mwanzoni mwa mechi ndiye mshindi na huwa haina draw.

kumbuka kubet what you can afford to loose. Karibuni rahim_baharia na Fibonacci, ni hayo tuu.

asante xyz123.....sahivi na mimi napiga pesa....ila nabet baada ya 2Q kuisha (half time).....asante kaka
 
Umenichekesha sana sababu hapa nina timu nasubiri ifunge goli moja tu nilambe mpunga.
Sasa nikipimwa bp hapa nitaanzishiwa dozi ya presha na hiyo tim ilishapigwa 2 bila. Ipo kwenye live play ligi ya finland pk 35 na HIFK

daaah, ila we jamaa ni sheeda humu ndani! dah
 
booooooooom.......!!!!!

Bet won


Meridian.PNG
 
Mkuu mambo mengine hayasahauliki kiwepesi aisee.

Haahaahaaah

Mie nimemaliza betting kwa leo.

Kesho tena nitaweka tips, hii game ya mwisho nilibet mapema ndo maana odds zimekua ndogo (1.65) ila baada ya second half zilifika 3.4 nikaona tamaa itaniumbua ngoja niridhike na nilichotarajia toka mapema.
 
Mwenzetu anatusua coz anafanya hii kitu kama business, hakuna kuremba team 1 hela ya maana akishinda anaaanza tena kesho, mwishoni mwa wiki ana 500.000 kiulainiiii , sie tunaweka mikeka ya team 10 kwa sh.5000 tushinde mili.4
 
asante xyz123.....sahivi na mimi napiga pesa....ila nabet baada ya 2Q kuisha (half time).....asante kaka

Mkuu sasa kuna vimechi havielewekieleweki. Vinaweza kuwa na point nyingi half ya kwanza half ya pili ikawa chenga.
 
Faroe Islands wamedinda leo dah!! HT/FT itaniua jamani
 
Naona weekend hii nimepigwa, business closed! Kesho panapo uhai
 
Back
Top Bottom