Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

bet.JPGbt2.JPGbt3.JPG
dah mikeka ya jana hapo namsubiri partzan na asteras nile 55000
 
jamani nisaidieni nimeweka pesa kwny akaunt ya meridian...kutoka m-pesa lkn sijaiona kwny akaunt ya meridian yani inaonesha bado haijaingia je nafanyaje
 
jamani nisaidieni nimeweka pesa kwny akaunt ya meridian...kutoka m-pesa lkn sijaiona kwny akaunt ya meridian yani inaonesha bado haijaingia je nafanyaje

jaribu kuwapigia simu yao. Sometime wanazingua sana meridian
 
jamani nisaidieni nimeweka pesa kwny akaunt ya meridian...kutoka m-pesa lkn sijaiona kwny akaunt ya meridian yani inaonesha bado haijaingia je nafanyaje
Inachukua one up to 2 hours kuonekana kwenye account yako
 
mkuu niliweka toka jana usiku mpk dakika hi chenga

Kawaida yao sana hao jamaa, watakuwekea ila wanachelewa sana sometimes. Washanikosesha hela mara kadhaa kwa kuchelewa kuniwekea hela kwenye account.

Afu nadhani wanaanza kuzidiwa na mzigo, wateja wengi ukiona hivyo.
 
Ambae hata kula leo baaasi na aache betting


Mkuu tayari akaunti ya bet365 kwa msaada wa NBC inasoma, Baadae nataka niscan my passport niwatumie credentials ili nianze kuitumbua bonus yangu. Haya twende kazi sasa, Lete mkeka na tips mbalimbali

snip.PNG
 
Mkuu tayari akaunti ya bet365 kwa msaada wa NBC inasoma, Baadae nataka niscan my passport niwatumie credentials ili nianze kuitumbua bonus yangu. Haya twende kazi sasa, Lete mkeka na tips mbalimbali

View attachment 197359

Bonus mbona unaipata hata bila passport scanning.
Nenda kwenye email yako utakuta wamekutumia email ina namba za offer, hizo ndio uziweke kwenye offer yako kupitia services.
Afu request call back ili wakupigie ukonfim details zako
 
Bonus mbona unaipata hata bila passport scanning.
Nenda kwenye email yako utakuta wamekutumia email ina namba za offer, hizo ndio uziweke kwenye offer yako kupitia services.
Afu request call back ili wakupigie ukonfim details zako

hapo na bonus tayari, Niliweka $45 nikarequest wakanipa. ila maelezo yanasema siwezi tumia bonus mpaka niwatumie ID.
 
Bonus mbona unaipata hata bila passport scanning.
Nenda kwenye email yako utakuta wamekutumia email ina namba za offer, hizo ndio uziweke kwenye offer yako kupitia services.
Afu request call back ili wakupigie ukonfim details zako

Kwa hiyo mkuu bila passport huwezi kufanya kitu, maana mimi nina driving licence ninataka kujua kama inahusika.
 
Kwa hiyo mkuu bila passport huwezi kufanya kitu, maana mimi nina driving licence ninataka kujua kama inahusika.

Hapana, hutaweza withdraw the money bila kufanga KYC. Nenda kwenye KYC afu request call back watakupigua. Mimi niliwahi watumia copy ya passport ila hawakuniruhusu kutoa hadi walipo nipigia

hapo na bonus tayari, Niliweka $45 nikarequest wakanipa. ila maelezo yanasema siwezi tumia bonus mpaka niwatumie ID.
Ndio hutaweza, wanataka passport
 
Back
Top Bottom