Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Almeria-Real Madrid
Goal in Both Halves
Yes
1.38
X
Creteil-Arles
Double chance
12
1.31
X
Fenerbahce-Sivaspor
Goal in Both Halves
Yes
1.54
X
Valenciennes-Chateauroux
Final Score
1
1.74
X
Zadar-Split
Double chance
12
1.27
X
Brighton-Millwall
Goal in Both Halves
Yes
1.84
X
Heracles-Dordrecht
Final Score
1
1.35
X
Queen of South-Rangers
Goal in Both Halves
Yes
1.62
X
Pandurii-Otelul Galati
Final Score
1
1.48
X
Gamba Osaka-Yamagata
Final Score
1
1.40
X
Hapoel Kfar Saba-Beitar Tel Aviv R.
Final Score
1
1.45
X
TSG 1899 Hoffenheim-Eintracht Frankfurt
Goal in Both Halves
Yes
1.45
X
Total Odd
107.85
naombeni editing jamani

Gamba Osaka nina mashaka naye, Jaribu kucheza under 2.5 hapo..
 
Kamari ni haramu . Utapoteza pesa zako tu , hakuna , anaefaidika katika Kamari ila mchezeshaji tu
 
Kamari ni haramu . Utapoteza pesa zako tu , hakuna , anaefaidika katika Kamari ila mchezeshaji tu
endelea kuwaza hiyo hivyo wenzako kila siku hela ya mafuta na mazagazaga mengine yote tunaipata kwa kubet...hela nyingine inatumika kufanyia maendeleo
 
Odd 2.83
 

Attachments

  • 1418407100874.jpg
    1418407100874.jpg
    58.5 KB · Views: 151
Mkeka wa Basket wa kulalia huu apa, nitaamka kucheza live kama utatibuka.

BBall.jpg
 
Kamari ni haramu . Utapoteza pesa zako tu , hakuna , anaefaidika katika Kamari ila mchezeshaji tu

ni nini uharamu wa kitu,kama kampuni husika inalipa kodi uharamu wake ni upi?,
eti anaefaidika ni mchezeshaji ndio nae anafaidika nasi tunafaidika life linakwenda,kama ilivyo kwako unalipa kodi tena lukuki akina wanao faidika ni akina chenge na wenzio.kati ya watu wanao iba mabilion ya pesa achilia mbali hi billion 321 unajua athari yake kiuchumi,ni watu wangapi wamekufa ,wamekosa chakula,elimu na vingine kwa nini wizi huu usiwe haramu ije kuwa kamari ya mpira.
Hi ni biashara kama zilivyo biashara zingine loose and gain.na duniani hapa biashara zote ni haramu ukifuata maana halisi ya neno haramu labda uwe na tafasiri yako binafsi.
 
Back
Top Bottom