Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NkyaH, Mtoto wa nzi, etc: Leo OKC kapewa odd ya 1.6 kumfunga Lakers, hii imekaaje? Maana naona kama ni odd kubwa kwa OKC.
Najua KD hayupo lakini waliobaki wako vizuri pia, kuna taarifa zozote za majeruhi?
sawasawa mkuu ntajaribu kuzicheki kwa kina
Natia laki liwalo na liwe.. Asante kwa taharifa mkuu wangu
Napumzika officially for one month,muhindi ashanipa za chembe xana kila mara mkeka wa kilo saba na kuendelea timu moja inaharibu du,msijali tutaendelea kushauriana hata kama nitakuwa mapumzikoni.
Dah,***** Besiktas kaninyima kilo saba!
Wakuu Naomba Mnisaidie Jinsi ya Ku-deposit kwenye Iplay8casino Maana huku kuna mwanga,Angalau....!!!!