Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu kuna kitu kimoja nimekigundua kwenye betting ya soka,game zenye pointi sawa au tofautiana kidogo zinazokutanisha timu kubwa na timu ndogo,mara nyingi timu ndogo huwa zinashinda mfano lille vs lyon wote walipewa 2.64 na mwisho wa siku lille alishinda,pia derby na fulham mwisho wa siku fulham akashinda,southhampton na westbrom westbrom akashinda na hata napoli jana mmeona, mlolongo huo unaendelea zaidi na zaidi ni mara chache sana upande mwingine huwa unashinda au kutoa droo so wadau hii tip tuifanyie kazi.
View attachment 231145
tuudiscuss huu sasa.....kwenye mabano ni nafasi zao kwenye ligi
Tranmere Rovers (20) Vs Wycombe Wanderers (3)
Leyton Orient (21) Vs Bristol City (1)
brighton (20) Vs Derby (1)
watford (4) Vs Fulham (19)
middleaboroug (2) Vs Millwal (22)
MBIZA
Mkuu hlo swala me nlsha lgundua ktambo krefu sn kpnd nabet kwa muhind na kutokana na hlo juz kulkuwa na mkeka mdau alikuwa amemuweka Deby kushinda kwajnc nlvyo angalia nkamshaur kwamba hyo mech aweke doubl chan na kumpa fulham ushind kutokana na point jinc nlvyo zion cjui km alfata ushaur wangu lkn jbu lltoka km nlvyo zan na nyengne nlmshaul mdaa kuwa mech ya lile nkamwambia hapo Lile anashnda au suluhu pia nltumia kigezo cha point walzo pewa.hii huwa inatoka sn km ukiwa makn kwa baadh ya mech
Wadau mbona mm nadeposit pesa kwenye account ya Meridian lakn pesa haionekani.. nlideposit tarehe 27/2/2015, jana pia nimeweka haikuonekana na leo nimeweka bado haijasoma na kila nkijaribu kufanya transaction naambiwa sina salio. Najaribu kupiga namba zao 0754303031 haipokelewi na ile ingine ndo haipatikan kabisa.. msaada wadau.
Wadau mbona mm nadeposit pesa kwenye account ya Meridian lakn pesa haionekani.. nlideposit tarehe 27/2/2015, jana pia nimeweka haikuonekana na leo nimeweka bado haijasoma na kila nkijaribu kufanya transaction naambiwa sina salio. Najaribu kupiga namba zao 0754303031 haipokelewi na ile ingine ndo haipatikan kabisa.. msaada wadau.
trabzaspor nilimkimbiA kwa nguvu zote...... mwisho wa siku nkamueka....KUMAMAMAAAAAAMAEEEEEE.......