Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Humu sikuizi kuna madogo wamezidi sana ujuaji mpaka watoa codes wameona isiwe kesi wanabeti kimyakimya

Before muanze kuita watu kuwa ni agents wa kanji mnatakiwa kujua kuwa betting ni mchezo wa kubahatisha, kwa mantiki iyo mtu huwezi kubahatisha kila siku.

Izo stress za kutapeliwa na wakenya huko Telegram na kuhisi humu jukwaani kila mtu ni tapeli kisa umechukua code humu na kustake hela ya kula au kodi ikaliwa ziishie hukohuko whatsapp.

Tusipobadilika tukashirikiana kwa pamoja kumrudisha mhindi kwao kulima pilipili basi wanaija wataendelea kutupiga gape kubwa sana kwenye betting.
 
Humu sikuizi kuna madogo wamezidi sana ujuaji mpaka watoa codes wameona isiwe kesi wanabeti kimyakimya

Before muanze kuita watu kuwa ni agents wa kanji mnatakiwa kujua kuwa betting ni mchezo wa kubahatisha, kwa mantiki iyo mtu huwezi kubahatisha kila siku.

Izo stress za kutapeliwa na wakenya huko Telegram na kuhisi humu jukwaani kila mtu ni tapeli kisa umechukua code humu na kustake hela ya kula au kodi ikaliwa ziishie hukohuko whatsapp.

Tusipobadilika tukashirikiana kwa pamoja kumrudisha mhindi kwao kulima pilipili basi wanaija wataendelea kutupiga gape kubwa sana kwenye betting.
Mbona wanaija hawana thread kama hii..
Hivi wale wakina juju punter wakina bayo, wale mkeka wao unafatwa na watu zaidi ya milioni moja kwa nigeria tu.
Wale ukiona mkeka umecut basi ni 2 - 6 games kati ya games 20-60.
Wako serious. Humu sisi kila mtu na akili yake. Embu tuendelee kubet. Tuache mifano kama tunajua sana. Leta kitu cha akili kama kawaida yako. Acha kuja na mifano kuwaaminisha watu hawa wasioelewa kwa maono yako
Tuliza shundu leta mkeka mfalme. Acha hizi kelele.
 
View attachment 2872986
Inawezekana betting ni big disappointment ila hatufahamu. Cut one leo tena algeria😂😂😂😂😂..
Hawa mie nilienda nao na Cards/Bookings

Maana najua ngozi nyeusi rafu ndio mpira wetu.

Tangu Jana Bookings za over 2.5 zinaenda vizuri,na also Corners zipo vizuri ila isizidi over 7.5
Screenshot_20240116-010948.png
 
Hawa mie nilienda nao na Cards/Bookings

Maana najua ngozi nyeusi rafu ndio mpira wetu.

Tangu Jana Bookings za over 2.5 zinaenda vizuri,na also Corners zipo vizuri ila isizidi over 7.5View attachment 2872987
Safi kugundua hilo. Acha kesho tuone. Haya matimu mengi nayo ngumu kubutua kampuni za betting. Zinataka utulivu. Najaribugi ila naona ni magumu, siingle bet ni poa sana.
 
Humu sikuizi kuna madogo wamezidi sana ujuaji mpaka watoa codes wameona isiwe kesi wanabeti kimyakimya

Before muanze kuita watu kuwa ni agents wa kanji mnatakiwa kujua kuwa betting ni mchezo wa kubahatisha, kwa mantiki iyo mtu huwezi kubahatisha kila siku.

Izo stress za kutapeliwa na wakenya huko Telegram na kuhisi humu jukwaani kila mtu ni tapeli kisa umechukua code humu na kustake hela ya kula au kodi ikaliwa ziishie hukohuko whatsapp.

Tusipobadilika tukashirikiana kwa pamoja kumrudisha mhindi kwao kulima pilipili basi wanaija wataendelea kutupiga gape kubwa sana kwenye betting.
Afadhali watu wenye akili mmeanza kuongea, mimi ni mmoja wa watu nilioacha kuweka CODE humu. Yaani mtu unajitolea kuchambua mechi, una risk unaweka pesa nyingi unatuma mkeka, na mikeka yangu mingi ilikuwa inatoa 8/10 mwisho wa unaanza kutukanwa matusi bila sababu na kuitwa wakala wa kanji eti unataka kutapeli watu inaumiza sana.

Naendelea ku bet kimya kimya na napata faida kubwa mno, binafsi inaniumiza rohoni maana nilikuwa natamani at least wote tuwe tunapata hata kama ni kidogo, ila ndio hivyo, ukiweka mkeka humu halafu ukachana au usichane unaitwa WAKALA WA KANJI na TAPELI.

Angalia mfano, siku tatu zilizopita na hii ni site moja tu.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-14-19-13-22-991_org.megapari.client.jpg
    Screenshot_2024-01-14-19-13-22-991_org.megapari.client.jpg
    25.3 KB · Views: 4
Back
Top Bottom