Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende tukaweke tupige mahela mengiHivi wale jamaa wa Instagram wanaouza mikeka ya timu 3, huwa ni uhakika au, nataka niweke pesa
Umemsahau SalzburgMan u GG
Everton win
Jkt Draw
Psg win
Lamia draw
Newcastle loose
WEKA ROHO.
Saiv tungekua tunatabasamu. Ila nani anaweza jua hili.
Kwamba Liverpool kauza?Gemu zinauzwa kuweni makini sana.
Game fixing...hata ligi ya italy wanafanya sana hiyo michezo.Kwamba Liverpool kauza?
Derby sio mechi ya kubashiri matokeo kirahisi.
Hilo sikatai ila sidhani kwa mechi zilizosalia na kuna ubingwa mbele ni vigumu sana kwa hilo kuwezekana.Game fixing...hata ligi ya italy wanafanya sana hiyo michezo.
Sio zinazokaribia tu hata zinazoshuka.Nilisema humu ogopa Timu zinazokaribia kushuka daraja huwa wanakaza sanaa.
Paok katoa draw dakika za majeruhi [emoji23][emoji1787]Liverpool karambwa 2-0 tusiende kwa mazoea wazee tutapotea naona siku hizi mechi hazieleweki, Salzburg karambwa 4-3, Zenit Russia karambwa 0-2 duuh
Tucheze magoli mana apo zimetoa over 1.5 unatia kibundaLiverpool karambwa 2-0 tusiende kwa mazoea wazee tutapotea naona siku hizi mechi hazieleweki, Salzburg karambwa 4-3, Zenit Russia karambwa 0-2 duuh
Hahhh sawa Kwa vile umebeti kijana Yani Hela na kombe we unafkiri mchezo Yani arsenal hataki pesa wanachotaka ni kombe ndo heshima aliyobakisha kubeba EPL vile vile Liverpool nae watu wanatoka jasho uwanjani wanataka kombe eti wauze mechi hicho kitu halipo kabisa hayo ni matokeo ya mpira tu afu na izi ishu za mechi kuuzwa zimekuja Kwa sababu ya bettingGemu zinauzwa kuweni makini sana.
Watu wanaisi Kila mechi imeuzwa 😂 hayo ni matokeo tu we jaribu kufikiria tu we miaka kibao hamjabeba. Kombe afu et mtu anaweka Hela mjifungishe kwani watu wanavopigania kombe ni Kwa ajili ya Hela??? Hapana kombe ni heshima ni ushindi na Wala sio pesa hzo usizani Wana njaa ya Hela😂Hahhh sawa Kwa vile umebeti kijana Yani Hela na kombe we unafkiri mchezo Yani arsenal hataki pesa wanachotaka ni kombe ndo heshima aliyobakisha kubeba EPL vile vile Liverpool nae watu wanatoka jasho uwanjani wanataka kombe eti wauze mechi hicho kitu halipo kabisa hayo ni matokeo ya mpira tu afu na izi ishu za mechi kuuzwa zimekuja Kwa sababu ya betting
Utakuta anashinda, kanji anatutishaNaona real Madrid ana odds mlima double chance 2x au mtego wa kanji maana ana UEFA jumanne sijui jumatano na PSG