Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hii man u kama ingewezekana kwenye kampuni la kubeti unaificha kabisa yaani isionekane.
 
Hii man u kama ingewezekana kwenye kampuni la kubeti unaificha kabisa yaani isionekane.
Aiseeee utafikiria makampuni yanajua🤣🤣🤣🤣

Crystal Palace ni wa kumpiga Man united Goal 2 ndani ya kipindi cha Kwanza 🤣🤣🤣🤣

Akikutana na Liverpool anakaza
 
Now
 

Attachments

  • Screenshot_20240505-202630.png
    Screenshot_20240505-202630.png
    78 KB · Views: 4
betting ni vita kali sana..

mwingine anaombea GG mwingine anataka NO GG kwa mechi hiyo hiyo😂😂😂

hawa watu wakikaa room moja watauana kwa maombi
FB_IMG_1715026236458.jpg
FB_IMG_1715026223661.jpg
 
06.05.2024
my fav. matches
Al Ahly win
Berkane win
Schalke 04 over 2.5
Al Nasr over 1.5
Screenshot_20240506-232611.jpg
 
Back
Top Bottom