Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Attachments

  • IMG_20240911_184800.jpg
    IMG_20240911_184800.jpg
    55.3 KB · Views: 3
Mkuu siyo lazima watu wafuate mikeka yangu kama vile ambavyo wewe ukipost Code yako humu siyo lazima mtu aibetie. Kuna code mamia zinawekwa humu Kila siku siyo lazima ufuate. Halafu hebu niambie ni nani anashinda kila siku kwenye betting? Au wewe mwenzangu mikeka yako hushinda kila siku?
Huyu jamaa achana
 
Mnahangaika weee hizo kampuni zenu za kirusi halafu mnalose Cha ajabu mara njia za kuweka na kutoa pesa wazitoe eti kisa option ila Kuna jamaa yupo Twitter ameshamlamba sportybet million 200 Kwa option za win na double chance tu Jana kamlamba million 90 kama kutoboa unatoboa tu hata option ya win
We jamaa inaelekea una stress sana za maisha, shida yako ni nin? Ni wivu? Unakuwa kama mtoto wa kike kelele kibao, au umeolewa mumeo hakuachii pesa ya kula? Makamalia wapo kama una shida sema usije ukachepuka ukapigwa taraka kizembe.
 
Mkuu siyo lazima watu wafuate mikeka yangu kama vile ambavyo wewe ukipost Code yako humu siyo lazima mtu aibetie. Kuna code mamia zinawekwa humu Kila siku siyo lazima ufuate. Halafu hebu niambie ni nani anashinda kila siku kwenye betting? Au wewe mwenzangu mikeka yako hushinda kila siku?
Jifunze kukaa kimya ndo jibu la mjinga
 
  • Thanks
Reactions: Ser
We jamaa inaelekea una stress sana za maisha, shida yako ni nin? Ni wivu? Unakuwa kama mtoto wa kike kelele kibao, au umeolewa mumeo hakuachii pesa ya kula? Makamalia wapo kama una shida sema usije ukachepuka ukapigwa taraka kizembe.
Ni kumpuuza tu mtu kama huyo, akikosa attention ndo atagundua kuwa alichokuwa ana kizungumza na anayo endelea kuyazungumza ni pumba tupu.
 
Mkuu siyo lazima watu wafuate mikeka yangu kama vile ambavyo wewe ukipost Code yako humu siyo lazima mtu aibetie. Kuna code mamia zinawekwa humu Kila siku siyo lazima ufuate. Halafu hebu niambie ni nani anashinda kila siku kwenye betting? Au wewe mwenzangu mikeka yako hushinda kila siku?
Acha kuhangaika na mpumbavu mmoja anayetaka kutuvurugia uzi,, dawa ni kumu ignore tu, binafsi mikeka yako naielewa sana, na ninaku fuatilia sana kwahiyo usichoke mkuu kutupa vitu 🙏🏽
 
Wewe huyo jamaa ni hatari mwezi wa nane kampiga million 70 na option ni win tu wewe na hiyo kampuni Yako yenye option nyingi umeshawahi kula hata milion 50
Katika izo million 70 na 90 wewe ulipata shilling ngapi kupitia hyo mikeka yake?
 
Back
Top Bottom