Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

City atashinda hiyo game... Otherwise I'm sorry if you're the Gunners
Sababu zipi zinafanya useme City atashinda kwa Arsenal? Mtazamo wangu mimi Arsenal atashinda. Kwa usalama wa pesa yako Weka Handicap ya 1.5 kwa Arsenal au total goals under 2.5. Timu zote zime struggle kimataifa, kila timu ni mechi ya kufa na kupona. Arsenal kwa City hajawa mnyonge kwa muda sasa. Huu ni utabiri tu, mengine tukutane uwanjani
 
-yn9taz.jpg

USIACHE KUJARIBU ODDS NYINGI.
ODDS 152 KWENYE PARIPESA👇👇


Bet PARIPESA. Kama Huna Akaunti Ya PARIPESA Jiunge Kwa Kujisajili Kupitia Link Hizo Hapo Chini Na Promo Code Weka👉 TIPS2424

Link PariPesa

Link PariPesa

PROMO CODE👉 TIPS2424

Booking Code: S8VQR

Tumia Promo Code TIPS2424 wakati wa kujisajili upate bonus ya mpaka TZS 250000.
 
1xbet haijasjili Tz mkuu
Kampuni halali ni zilizosajiliwa Bongo na bodi ya bahati na sibu na lazima itumie anuani ya .co.tz
Hawa hata wakikudhulumu unakwenda kuwashtaki bodi ya bahati nasibu na unapata haki yako

Hizo zingine sio kampuni halali tunabet kwa njia za panya tu
Hata wakikupiga hauna pa kwenda kulalamika mkuu
1xbet wanakata kodi wanampelekea nani?
 
Sababu zipi zinafanya useme City atashinda kwa Arsenal? Mtazamo wangu mimi Arsenal atashinda. Kwa usalama wa pesa yako Weka Handicap ya 1.5 kwa Arsenal au total goals under 2.5. Timu zote zime struggle kimataifa, kila timu ni mechi ya kufa na kupona. Arsenal kwa City hajawa mnyonge kwa muda sasa. Huu ni utabiri tu, mengine tukutane uwanjani
Mpira ukiisha ndio utajiona upo sahii au haupo sahii usijifanye mjuaji kabla nenda kaangalie arsenal mwisho kushinda lini pale Etihad
 
N4PRR

Mwenye pesa aweke balance nzuri hapo👆🏻 Helabet code number 👉🏻N4PRR

Utanishukuru baadae🚶🏻🚶🏻🚶🏻
 
Mpira ukiisha ndio utajiona upo sahii au haupo sahii usijifanye mjuaji kabla nenda kaangalie arsenal mwisho kushinda lini pale Etihad
Niambie wewe mara ya mwisho Manchester City amempiga Arsenal lini. Nipe takwimu za msimu uliopita.
 
Mpira ukiisha ndio utajiona upo sahii au haupo sahii usijifanye mjuaji kabla nenda kaangalie arsenal mwisho kushinda lini pale Etihad
Kama ulikuwa hujui nakujuza hii "Kwenye game tatu za mwisho ambazo walikutana msimu uliopita, gemu mbili wametoka sare, na gemu moja Arsenal kashinda na Arsenal alishinda huku akiwa hana ubora mkubwa kama aliokuwa nao city". Tuseme Manchester city ni bora, kwenye gemu za kimataifa hajamfunga inter, kadhalika na Arsenal hajamfunga Atalanta.
 
Kama ulikuwa hujui nakujuza hii "Kwenye game tatu za mwisho ambazo walikutana msimu uliopita, gemu mbili wametoka sare, na gemu moja Arsenal kashinda na Arsenal alishinda huku akiwa hana ubora mkubwa kama aliokuwa nao city". Tuseme Manchester city ni bora, kwenye gemu za kimataifa hajamfunga inter, kadhalika na Arsenal hajamfunga Atalanta.
Tukutane after mechi Sina mda wa kubishana
 
Back
Top Bottom