Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Daaaah!!!!Roma nilimchagua vipi huyu madudu😡😡😡😡, haoneshi hata dalili ya kuirudisha...zaidi inaelekea akaongezwa goli
 
NALEOTENA
 

Attachments

  • Screenshot_20240929-173418_Chrome.jpg
    Screenshot_20240929-173418_Chrome.jpg
    197.8 KB · Views: 3
Ndugu wakamaria, hii Roma leo kidogo initoe roho. Hivi ni mimi tu au hata nyie?
 
Thanx Mwanitesa united over 0.5 1half imekwisha toa tayari

Hapa namsikilizia myama tu nilimfuata mazima

Game ya Yanga sina hofu nayo kabisaaaa
 
wangu kuweni makini sana fenerbahance,atletico na Paok ukizipa diect win umeisha
 
Back
Top Bottom