Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Taratibu Taratibu,,
Screenshot_20241003_122118_Chrome.png
 
Mie nataka kubeti timu za nje....za humu ndai naonaga udwanzi sijui kwa nini eti🥴!!
Tia laki ...home to win both waves odds 2.5 😇😇😇tulia tuli na pakiti ya ubuyu mwekundu ukisubiri kulipwa pesa yako ...ngoja mimi nikaweke kaelfu 5000 tu

Pia cheza hii ngumu kumeza tia hata 20000 kisha weka one cut ya hivi 830000 kwa 150000😇😇😇👇

SPORTYBET.....

21ADB1A
 

Attachments

  • Screenshot_20241003-123550_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241003-123550_SportyBet.jpg
    155.5 KB · Views: 5
Sortpesa bado wanataka Faida ya udhamini

Direct Win tu🤣🤣🤣
Wale wa over 1.5 misiba miwili iliyopita tumejifunza kitu 🤣🤣🤣 ila wengine hatukomi
Hii mechi inaweza kuwa na magoli lkn yanga kwa sasa inasemwa sana so wachezaji wanatumia nguvu kujionyesha wao ni nani...

Kocha aliyewavimbia na kutoka 0:1 ft ndo huyo aliyehamia pamba so kama atawini mbinu yake ya kupunguza magoli huwenda ikawa 2:0 au 3:0 ,,, maana wachezaji walioko huku cyo wale wa tabora so itategemea mwalimu wao wanamuelewa nn
 
POSITIVE EDITY ODDS 1255 💥💥💥

1BB8206

Edit very postive edit odds 220 😇😇😇💥💥💥💥 weka hata sh1000 au sh5000

POSITIVE EDITY ODDS 1255 💥💥💥

1BB8206

Edit very postive edit odds 220 😇😇😇💥💥💥💥 weka hata sh1000 au sh5000

680747
Matreni matatu niliyo post majuzi limebaki ilo tu la odds 220 ndiyo limevuka vigingi vya jana 😇😇😇😇 japo mimi ninayo mengine ya juzi sikuyapost matatu nayo yamevuka vigingi vizito vya jana ngoja tuone leo 😇😇😇
 
Haya mauefa ykiweka hata under 5.5 yotee unakutana. A 7-0 kerotuou
 
Back
Top Bottom