Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Cape verde na ghana ndo wachawi. Ila huyu ghana sometime kama tumerogwa kapoteza form lakin bado tunampa dhamana
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kumekuchaaaaaaaa

Watu tupo Field ya kutukana

Tukirudi aiseee Kanji atakoma kwa matusi
 
Kocha mpumbavu


1000044398.jpg
 
Back
Top Bottom