Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mechi ya Getafe vs Valencia over 1.5 Ina point 1.72 [emoji91] sio poa sijawahi ona over 1.5 Ina odd kubwa hivi Kuna kipi nyuma ya pazia?
🤣🤣🤣🤣🤣
League ya Spain mara nyingi huwa inafika,Kuna siku ikifika 1.82

Vibonde watupu,wape tu over 1.5 mara kibao huwa inatoa💥💥💥

Mie hii Mechi nimeipa Corners over 6.5
 
Mechi ya Getafe vs Valencia over 1.5 Ina point 1.72 [emoji91] sio poa sijawahi ona over 1.5 Ina odd kubwa hivi Kuna kipi nyuma ya pazia?
Katika game Tano zilizopota za ugenini za Valencia kafunga jumla ya goli 2 tuu, ko unshort Valencia sio mfungaji then Getafe game tatu za nyumbani katika 0-0
So muhindi sio zoba kakaa kiujanja ujanja sana
 
Screenshot_20241027-152614_Chrome.jpg

Weka nyumba, weka mke, weka na watoto.
 
Tusikate tamaa wadau.
Ipo siku Tutamkula Mhindi vizur tu.

Wale wa Sportybet
Option ya kunyima timu isifunge 3 goals in a row
Au 1 Half - GG/NG - iwe NO.
Au 1 Half - 1.5+ Goals - Under


Ni nzur sana jaribun kutupia.
 
Usikute wale wahuni wamekulaghai na possible,
Wenyewe wanaziita Sure Odds
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Game ya AZ Alkaamar umeipa kila kipind yapatikane magoli mawili au zaidi - ngumu sana hiyo
Huo mkeka nimeusuka mwenyewe mkuu.
Hakuna sure odds kwenye betting nalijua hilo.
Halafu haujui betting bila shaka au umechanganya madesa, al kamaar hapo ni magoli 2+ full time
 
Usikute wale wahuni wamekulaghai na possible,
Wenyewe wanaziita Sure Odds
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Game ya AZ Alkaamar umeipa kila kipind yapatikane magoli mawili au zaidi - ngumu sana hiyo
Hapo lugha imekuchanganya mkuu. Hiyo ni over 1.5 full time. Si unaona odds zenyewe hata 1.2 haijafika
 
Back
Top Bottom