Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Aisee hii noma
JAna kachana
Pyramids leverkusen

Leo yanga city arsenal

Duuh
 
Aisee hii noma
JAna kachana
Pyramids leverkusen

Leo yanga city arsenal

Duuh
 
Aisee hii noma
JAna kachana
Pyramids leverkusen

Leo yanga city arsenal

Duuh
 
hiyo process nimefanya mkuu na hela nimeitoa kutoka kwenye account ya helabet sas shida ni kuitoa ile hela kwenda kwenye laini maana t

Walinidirect kwamb nitumie mtandao niliotumia ku deposit ambao ni voda ila nilijisajili kutumia halotel shida kuhamish ile hela kutoka selcom kwenda

daa

so far hiyo hela imepotea endapo nimekosa wakala wa selcom
Electronic money huwa haipotei, kuna sehemu inakuwepo na inaacha alama ilikopita, ni wewe kuifatilia tu.
 
Fungua app ya Helabet, utaona kuna neno limeandikwa MENU lipo Chini upande wa kulia, Ukibonyeza utafunguka ukurasa mwingine, utaona kuna icon ya setting ipo mkono wa kulia juu kwenye kona. Bonyeza hilo neno, utakuja ukurasa wa ambao utaona kuna neno withdraw. Bonyeza hilo neno, itakuja njia mbalimbali za ku withdraw. Chagua njia uliyo Jisajilia wewe
hiyo process nimefanya mkuu na hela nimeitoa kutoka kwenye account ya helabet sas shida ni kuitoa ile hela kwenda kwenye laini maana t
Ukibonyeza Withdraw, itakuja list ya mitandao. Chagua mtandao uliojisajilia. Utaingiza kiasi cha pesa kisha uta confirm
Walinidirect kwamb nitumie mtandao niliotumia ku deposit ambao ni voda ila nilijisajili kutumia halotel shida kuhamish ile hela kutoka selcom kwenda
Hiyo pesa kuipata hadi umuone wakala wa selcom ukiwa na hiyo msg
daa
Mkuu kama ulijisajilia Halotel Hakikisha Una Login Kwa Kutumia Hiyo Laini Ya Halotel au ID. Huwezi kutoa hela Kupitia voda wakati ID inasoma ulifungulia HALOTEL.

Ila yeye amesema alisajilia Halotel, halafu anasema tena anahamisha kwenda M-Pesa.
so far hiyo hela imepotea endapo nimekosa waka
Electronic money huwa haipotei, kuna sehemu inakuwepo na inaacha alama ilikopita, ni wewe kuifatilia tu.
sawa mkuu kwa ushauri wako so far ni mimi kumtafuta wakala wa selcom
 
IMG_20241102_204311.jpg
 
Macab, orlando, dynamo kiev, na raja kila nikiwaweka kwenye mkeka lazima wachane.......

iwe win, dc, dnb, magoli yani nikibet in their favor lazima wachane......

wanaingia blacklist rasmi
 
hiyo process nimefanya mkuu na hela nimeitoa kutoka kwenye account ya helabet sas shida ni kuitoa ile hela kwenda kwenye laini maana t

Walinidirect kwamb nitumie mtandao niliotumia ku deposit ambao ni voda ila nilijisajili kutumia halotel shida kuhamish ile hela kutoka selcom kwenda

daa

so far hiyo hela imepotea endapo nimekosa waka

sawa mkuu kwa ushauri wako so far ni mimi kumtafuta wakala wa selcom
Fata utaratibu tu itatoka.
Mimi 1xbet wakala alikataa kutoa hela akarema nicancel tu muamala.
Hata nikideposit kwa mobile ikawa inataka nitoe kwa wakala yuleyule.
Nilivyowasiliana nao wakasema nitume email kitengo cha security.

Kule wakaniuliza nataka kutoa kwa njia gani? Nikawaambia mobile.
Wakasema nideposit kwa mobile kisha niwatumie statement.

Baada ya muda fulani wakanitumia email kwamba wamesharekebisha ikatoka vizuri tu.
 
Macab, orlando, dynamo kiev, na raja kila nikiwaweka kwenye mkeka lazima wachane.......

iwe win, dc, dnb, magoli yani nikibet in their favor lazima wachane......

wanaingia blacklist rasmi
Mi nilijichanhanya nikajua nimepick game ya berkane dah kucheki baadae kumbe nimepick ya raja dah halafu berkane kashinda.
 
hiyo process nimefanya mkuu na hela nimeitoa kutoka kwenye account ya helabet sas shida ni kuitoa ile hela kwenda kwenye laini maana t

Walinidirect kwamb nitumie mtandao niliotumia ku deposit ambao ni voda ila nilijisajili kutumia halotel shida kuhamish ile hela kutoka selcom kwenda kwenye mpesa
Mkuu hiyo hela kuipata utasota sana utadhani unaomba msaada.
Helabet ni MAJAMBAZI kama MAJAMBAZI wengine

Ogopa sana hizi kampuni
Helabet
888starz
22bet
Paripesa
Yaani hizi kampuni kuweka hela ikafika kwenye acc yako ni sawa na kubet...... inaweza isifike mazima ukabaki unachati nao kutwa nzima wanakuzungusha hadi unakata tamaa.
Hivyo hivyo na kutoa
Ukiitoa hiyo hela yako basi ujue unabahati kweli maana utaanza kutuma email kama unaomba kazi vile

Ni bora kutumia 1xbet wakala(siyo mobile payments) au Betwinner
 
Back
Top Bottom