Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu nataka nitie laki yangu hapo naomba ushauri
 

Attachments

  • Screenshot_20241103_114334_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241103_114334_SportyBet.jpg
    166.6 KB · Views: 5
Live weka GG inatoa uhakika
Unaendeleaje huko unadhani kanji bwege eeh.
Mkuu hizi sio comments za KIUNGWANA kabisa...... zinakatisha tamaa wanaotuma TIPs

Mtu anapotoa TIPS haimaanishi LAZIMA itoe, vinginevyo wakamalia tungekuwa mabilionea

Kama wewe ulikua unajua Kanji sio bwege hebu tuonyeshe bet ulio mnyima Arsenal goli na uka stake high upate hela?
Kweli mkuu hapo nimezingua ila si unajua wakamalia kwa kujambishana.

Tatzo aliongea kwa uhakika sana na yeye.
 

Attachments

  • Screenshot_20241103_151704_1xBet.jpg
    Screenshot_20241103_151704_1xBet.jpg
    23.6 KB · Views: 4
Back
Top Bottom