Naked
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 293
- 805
Si ajabu wewe ni kibabu kabisaMind your business,kwanza huu uzi haukuhusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ajabu wewe ni kibabu kabisaMind your business,kwanza huu uzi haukuhusu.
Weka akiba ya maneno braza kuna watu humu wanaendesha maisha yao kupitia hii kaziWanaume mnakazi ya kubeti ovyoo kabisa
Wanaume mnakazi ya kubeti ovyoo kabisa
Mtoto wa kiume kutumia id ya kike na kuwazingua wqnaume wenzako inatia shaka sana. Mtoto si rizki, mtoto unaliwa wewe.Si ajabu wewe ni kibabu kabisa
Napoli ameshapuna apo
Hawa jamaa wana kipi cha ziada maana issue ya kuchelewesha malipo inaonekana ni shida na wateja inao, mtupe Siri kuna nini huko zaidi ya kwingine tuje maana pamoja na mapungufu ya mara kwa mara ila watu wapoParipesa bado wanaendelea kushikilia pesa yangu isivyo halali baada ya kuwithdraw ikatoka kwenye akaunti ya paripesa lakini mpaka Leo siku 10 zimepita haijaingia kwenye akaunti yangu ya Airtel wala kurudishwa kwenye akaunti yangu ya paripesa. Nahisi huu utakuwa utapeli.
AhahahaYes ni kweli ila msimu huu Napoli amecheza mechi 5 nyumbani kwake na ameshinda zote kipindi cha pili. Atalanta wakirudi hawatakuwa aggressive kama mwanzo naamini hii mechi inaweza kuisha 1 kwa 2 au 2 kwa 2.
Tatizo lao wanatumia Selcom, so lazma miamala ya wateja ikwame.Nimeshangaa leo kwenda kuchungulia naona mfumo wameutoa tena
Sijui wamenyimwa tena ama walikuwa on test.
Hauko peke yako mkuu...Itoshe tu kusema hii wiki kanjibai kaamua kunishenyenta , siku 3 mfululizo hakuna win hata moja