Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Kuna mtu anaitwa Victoria Plzen yupo Czech republic amepigwa 1-0 ila kwa hand cup nikampa 1+ kwaiyo 1-1 zao😪
 
wekahela
FC Séville - Real Sociedad

Tip : over 2,5 total goals

Odd : 2,50
 

Attachments

  • 1727939888664.jpg
    1727939888664.jpg
    153.9 KB · Views: 3
Wacha niwape option hii; first ten minutes draw . Dk zako kumi tu za mwanzo unabana pumbu 😂 wacheze draw. NB: atakuja mtu atasema dk ya kwanza tu chumaaa😂 , ndo hivyo hakuna option isiyochana ni kujaribu tu . Jana na Leo nmekula Kwa hyo option,mfano gemu ya liver , city na arsenal Jana nmekula afu Zina odds nzuri . Pia hii option nzuri sana Kwa ligi zile ngumu kutoa magoli mfano Italy Spain france
 
Wacha niwape option hii; first ten minutes draw . Dk zako kumi tu za mwanzo unabana pumbu [emoji23] wacheze draw. NB: atakuja mtu atasema dk ya kwanza tu chumaaa[emoji23] , ndo hivyo hakuna option isiyochana ni kujaribu tu . Jana na Leo nmekula Kwa hyo option,mfano gemu ya liver , city na arsenal Jana nmekula afu Zina odds nzuri . Pia hii option nzuri sana Kwa ligi zile ngumu kutoa magoli mfano Italy Spain france
Wakati unasema haya Brentford anakuchekaa ahahahh
 
Back
Top Bottom