Dj ray
Member
- Oct 5, 2021
- 94
- 67
Tuache kwanza mkuu 😆😆😆Hawa chelsea gari limewakaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache kwanza mkuu 😆😆😆Hawa chelsea gari limewakaaaa
Ila kubwa jinga moja huko madird sumbufuHawa chelsea gari limewakaaaa
Mbona kama wanarukaruka tuThe blues now uhakika usiogope kuibetia
Na badoYaani rever ndio wa kutoaga droo kweli!!
Aiseee Asante Sana niliifata 10.5conner na imetoaHii game inatamanisha sana kumfuata Aseno mazima lakini Man U sio wa kuwachukulia poa wamepandisha form yao wanaweza kufanya maajabu
Mi naondoka nayo kwa Total corner Over 10.5 Odd 2
Kwa sababu timu zote zinashambulia sana possibility ya kona nyingi ni kubwa
Mapped aache ungeseMBAPPE anafirua
Mapped aache ungese
Kaninyima helaAnazingua kisengelema kweli
Real kazingua sana