Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Oi kuna options za '1 cut, au 1 flex' mfano kweny sportybet zipo.
Mwenye ufahamu juu ya hizi kitu anijuze nizifahamu aise
 
Ndugu zangu

Galatasaray win and GG mnaiona ikitoa

Mechi tano za mwisho Galatasaray ametoa GG

Mechi 5 za mwisho za BB 4 ametoa GG

Je leo Atatoa maana odds zake zinanitamanisha
Weka mechi moja tu hyo inatoa galatasaray ana beki sio nzuri sana ila forward line yake nzuri hyo mechi kutoa Gg ina asilimia kubwa! Correct score inaweza ikawa 3-2 leo au 3-1
 
-nzd6y0.jpg

Roll Over Day 2

Code >> > PZXVY

BETIA MELBET

Jisajili Melbet Hapa Kubet👇

https://mlbt.cc/40coprj

https://mlbt.cc/40coprj

Promo Code👉 TIPS2424
 
Katika mechi 5 walipokutana ambazo baselona alipata magoli, ni mechi 4 baselona alipata goli katika kipindi cha kwanza, na mechi 1 tu hakupata goli.
Mechi ipo uchi hiyo odds 1.61 hizo hapo, ikichana ni bahati mbaya maana ni betting.

Baselona over 0.5 1Half.
Screenshot_20250108-215046_888starz.jpg
Huu ni uchambuzi wa betting, Sio uchambuzi wa kitaalam.
 
Katika mechi 5 walipokutana ambazo baselona alipata magoli, ni mechi 4 baselona alipata goli katika kipindi cha kwanza, na mechi 1 tu hakupata goli.
Mechi ipo uchi hiyo odds 1.61 hizo hapo, ikichana ni bahati mbaya maana ni betting.

Baselona over 0.5 1Half.View attachment 3196197 Huu ni uchambuzi wa betting, Sio uchambuzi wa kitaalam.
Uchambuzi WON
 
Jf bwana kuna watu wanachambua Sana mpira, ukitaka Kula mikeka then soma comments za watu
Humu tunachambua kwa jicho la hela. Hatuchambui kitaalam na kishabiki.
Mfano tunachambua timu fulani zikikutana kwa vyovyote vile magolikipa wote watagusa mpira ndani ya dakika 3. Uchambuzi kama huu huwezi kusikia redioni.
 
Humu tunachambua kwa jicho la hela. Hatuchambui kitaalam na kishabiki.
Mfano tunachambua timu fulani zikikutana kwa vyovyote vile magolikipa wote watagusa mpira ndani ya dakika 3. Uchambuzi kama huu huwezi kusikia redioni.

Haha na huu ndio uchambuzi mzuri sasa, uwez kupata popote
 
Hawa jamaa zako chenga sana.... Mpaka Leo tangu tarehe 1 January mpaka Leo tarehe 9 hela haijafika na kwenye akaunti hawajarudisha na nimewasiliana nao Kwa email. Jau sana...
Watu kweli wanalalamika sana kuhusu hii kampuni, ila kwa upande wangu haijawahi nifelisha kabisa, na mara ya mwisho nimetoa asubuhi tu
 

Attachments

  • Screenshot_20250109-113148_PariPesa.jpg
    Screenshot_20250109-113148_PariPesa.jpg
    161.5 KB · Views: 6
Back
Top Bottom