Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Du parma atashinda kweli leo ? Na fiorenntina?

Nnasubirri mkeka nicopy

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hawa m-bet mashine yao ya kulipa imezingua sijui. Toka jana hawajanipa changu
 
Nimemkataa steua burcelst
parma na macabi haifa
nimempa fernebahce imekuja Tsh.386,590/= kwa buku,
ombeeni ukubali ntawatupia vocha
 
nimemkataa steua burcelst
parma na macabi haifa
nimempa fernebahce imekuja tsh.386,590/= kwa buku,
ombeeni ukubali ntawatupia vocha

parma alikuwa analead 65 minutes,steau keshashinda. So delete mkeka.
 
Fernabahce,napoli,benfica kushaharibika imekula kwngu....parma nlimpa draw na hull city win naamin ntachomoka hapa npate mtaji w chelsea.
 
Back
Top Bottom