asrams
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 4,798
- 2,652
mkuu game uliichungulia kwa babu nini??duh kama ulimpa madrid umekula X5 ....!!!
kie kie kie kie hakuna bro, nimesoma statistics za Madrid nikaona Bayern hawaponi, leo mzigo woote pamoja na mtaji nawapa chelsea.