Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mimi jana dollar zililiwa mapema nikaweka zingine zikaliwa Uriguay mshenzi sana.
Nikaogopa weka kabisa.
Ila lazima dollar zangu zirudi siachi ngoo
 
Dah yaani sijaamini dollar zangu zimeenda siamini kabisaaaaaa.
Spain ndo wakupigwa 5.
Yaani 1,2,3,4,5 daaaaa inauma sana.
Nadhani hii imeniuma sana ni jana jioni tu Cameron akaniua nikaona niongeze kwa spain nipate na faida sasa Spain ameniletea hasara, daaah

Mkuu, mi nashauri mechi kubwa ni bora kubet magori, 3+, then weka mzigo, utawin sana tu
 
leo kama kawaida sikati tamaa FRANCE nafikiria kumpa cap draw au 45mins.. Argentina nampa cap bila kuwaza mara mbili.
 
Mkeka wangu leo ni kwa kups,jaro,sjk,sandeford,ifk,france,switzland,hammaby! Natupia 5000/= naweka mbili mbili! Tutaonana kesho kwenye mpunga!
 
Chonde chonde CEO Kuwa makini naye,usimuuzi unaweza ukachezea vitasa wiki hii.

hahahahahaha kuna mnigeria mmoja yuko suspended kisa kamcheka, ila watu wa union wameingilia karudi kazini, ila hali tete bado,
 
Mkeka wangu leo ni kwa kups,jaro,sjk,sandeford,ifk,france,switzland,hammaby! Natupia 5000/= naweka mbili mbili! Tutaonana kesho kwenye mpunga!

MADAWA rudi hapa utupe feedback ya mkeka wako
 
Last edited by a moderator:
Za leo ngumu kutabiri wakubwa may be ile ya Nigeria ila vingine vinataka uwe kama shujaa usiogope.
 
mi nimekosea mara moja tu tangu world cup ianze kwenye ile gem ya Mexico....sababu nabet over 2.5...nii gemu moja tu ndo imekua under 2.5! ila naanza over 1.5 to be more safe!!
 
Haya nyie madogo huku
Hembu niambieni ya kesho,
leo sina salio.

Mnipe majibu mie nifanye kuingiza kwenye simu tu.
 
Haya nyie madogo huku
Hembu niambieni ya kesho,
leo sina salio.

Mnipe majibu mie nifanye kuingiza kwenye simu tu.[/QU

Hizo zilizobakia 3 chin ndo za leo kwahyo ww cheki tu huweke hapo nimebase kwenye magol yatafika mawili na hyo nyingne mjeruman atashinda huo mkeka niliweka toka jana unaendelea leo
75.PNG
 
Haya nyie madogo huku
Hembu niambieni ya kesho,
leo sina salio.

Mnipe majibu mie nifanye kuingiza kwenye simu tu.[/QU]

Hizo zilizobakia 3 chin ndo za leo kwahyo ww cheki tu huweke hapo nimebase kwenye magol yatafika mawili na hyo nyingne mjeruman atashinda huo mkeka niliweka toka jana unaendelea leo
View attachment 165172
 
Back
Top Bottom