Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

 
Watu wengi wamedanganywa kuwa Arusha maisha ni bei ya juu sana wakati ni tofauti kabisa yani
 
Hakuna mj
Hakuna sehemu ilokosa mbu.
Kila sehemu ina mbu.
TANZANIA HAKUNA JIJI LA KISASA KUZIDI DAR ES SALAAM.
UNLESS UWE MASIKINI UKAISHIA TANDALE.
Nenda Kijichi,Kigamboni Somangira,Masaki,Mikocheni,Oysterbay,Msasani uone maisha ya kitajiri ni nini.
Ata Arusha hiyo modernity ipo. Dar hakuna maajabu ya kutishia Arusha ata moja. Dar kwa ukubwa na mzunguko yes. Lakini eti ni modern kuliko Arusha NO. Big No. Arusha walie delea mapema sana. Ni watu wenye stereotypes na ushamba ndio hudhani dar ni kila kitu.
 
No doubt....
Mbeya
Njombe
Iringa Kwa misosi ....Kila kitu kipo
Bei za vyakula Dar ni gharama kuliko ata Arusha, isipokuwa kama unataka ku compromise quality. Vitu kama nyama, nyanya, ndizi, cabbage, carrots, nk. Its cheaper in Arusha. Watu sijui huwa wanajidanganya nini yani.
 
Kama unataka hela fanya kazi na watu wa Dar es salaam , au mikoa ya kaskazin hasa Kilimanjaro na Arusha hawa watu hawana bambamba, wamenyooka Sana , mikoa mingine wanaunga unga sana

Bora nifanye kazi na wasukuma au watu wa dar, pwani, tanga au kigoma, wengine siwajui vizuri. Lakini ukiniambia watu wa kaskazini hapana aise, japo sio wote.
 
Hiyo moro ilibidi ndo ianze
 
2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.

For me, Mwanza is the best jiji kwa kuishi, kutalii na kibiashara

1 Dar
2 Mwanza
 
Roughly Nigger ๐Ÿ˜‹ I got your point and thanks you explain everything so much well ila kuna namna unatakiwa ujue not every modern city must have got what you call Skyscrapers, there are so many cities worldwide with no what you call Skyscrapers na bado ni majiji ya kisasa, And I'm really sure ukimchukua mtu yyte umlete Dodoma azunguke na aende Dar bas atakuambia mji upi upo well organized.
[/QUOTE]
Kwa kuwa well organized mkoa wa kwanza nachagua Tanga kesha Mwanza.
Dodoma ni mjini tu ndio well organized mkuu.
Uko sahihi Asmara ni modern city ila hauna skyscrapers.
[/QUOTE]
Huyu anaelekea hana exposure au ni ushamba unamsumbua. Europe miji kibao ya kisasa haina fly overs! Na very few skyscrapers! Ukisema tuvitu vitu vya hivyo utaambiwa Dar bado sana. Kwa tuliotembea tunacheka. Yani tu interchange tuwili sijui ti ngapi, mji hauna ata span ya kilometer 20 really? Watu wana ma metro subway, we unaongea nini wewe?
 
Kwa kuwa well organized mkoa wa kwanza nachagua Tanga kesha Mwanza.
Dodoma ni mjini tu ndio well organized mkuu.
Uko sahihi Asmara ni modern city ila hauna skyscrapers.
[/QUOTE]
Huyu anaelekea hana exposure au ni ushamba unamsumbua. Europe miji kibao ya kisasa haina fly overs! Na very few skyscrapers! Ukisema tuvitu vitu vya hivyo utaambiwa Dar bado sana. Kwa tuliotembea tunacheka. Yani tu interchange tuwili sijui ti ngapi, mji hauna ata span ya kilometer 20 really? Watu wana ma metro subway, we unaongea nini wewe?
[/QUOTE]
We nilishakuweka kushoto.
First waonekana mshamba second unajibaraguza umetembea kumbe kapuku tu.
SISI TUMETEMBEA ZAIDI YAKO.
Unajisifu umetembea ilhali umeishia Tandale my foot!?
Kichwa chako.
Embu nitajie mji wa kisasa Europe usiokuwa na miundombinu yeyote ya usafiri ya kisasa(flyover/interchange/expressway)!??
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†Nataka jibu hapo.
 
Ona huyu kijana anaropoka nini!?
Umefika Victoria Morocco!?
Seriously ufananishe modernity ya Dar na Arusha!?
Nimefika Arusha buddah Arusha ya kupambana na Mwanza sio Dar.
Embu katafute architectural wise kama hii Arusha nzima uilete.
 
Kanitafutie sehemu Arusha yenye massive buildings za maghorofa kama hapo Upanga.
Mind you hii ni Upanga pekeyake.
Pia tizama architecture ilotumika katika hayo majengo Arusha you won't find it.
 
Njombe๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ ..nimekaa na kukulia Dar, nimeishi Dodoma , nimekaa Arusha ,morogoro, Tanga.. Mwanza ndio naishi Sasa mwaka wa 12 ..ila Njombe nilienda mwaka juzi kazi flani Maalum acha kabisa ..ni pa kawaida sana ila ule uchakarikaji wa mavijana ..wanavyojichanganya , hawana makuu... Watu poa sana....
 
Kama unataka hela fanya kazi na watu wa Dar es salaam , au mikoa ya kaskazin hasa Kilimanjaro na Arusha hawa watu hawana bambamba, wamenyooka Sana , mikoa mingine wanaunga unga sana
Acha kudanganya watu wewe,kaskazini imejaa wapigaji wakubwa unataka kusema nini asee,tunaishi hapa hapa Arusha tunajua,acha uongo bana tumetembea sana tunajua
 
Bei za vyakula Dar ni gharama kuliko ata Arusha, isipokuwa kama unataka ku compromise quality. Vitu kama nyama, nyanya, ndizi, cabbage, carrots, nk. Its cheaper in Arusha. Watu sijui huwa wanajidanganya nini yani.
Huu ni upeo wako wa kuishi hapa Arusha au kuzaliwa Kaskazini,unafanya kuwamba ngoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ