Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Mikoa ya kaskazini inafanya vizuri sana kwenye ukusanyaji wa kodi. Imagine hapo hakuna kodi itokanayo na utalii lkn bado mikoa mitatu mikubwa ya kaskazini imepangana kwa mfuatano nyuma ya DSM.
This should be a case study.
Mbeya ina madini kule Chunya na Mpaka wa Kasumulu, lkn bado inachangia mapato ya kodi kidogo sana.
 
Mikoa yote ya Kaskazini Ina border posts na Nchi yenye uchumi mkubwa EAC na largest trading Partner wa Tzn so lazima watafanya vizuri.

Pili Ina Utalii ambao ni Moja ya taxable activity sana.

Mbeya Ina migodi ya Wachimbaji Wadogo ambao sio walipakodi wakubwa ingawa kule kwenye Mapato ya Tume ya Madini,Mbeya inaongoza.

Mwisho Mikoa yenye migodi mikubwa kama Geita,Mara nk haijatokea hapo Kwa sababu Mapato yake Yako kwenye Large Tax Payers ambao hawajayachanganua.

GDP ndio inatoka taswira halisi ya Mchango wa Mkoa kwenye Uchumi maana Ina account Kila economic activity na value yake.
 
How GDP ina account kila activity?
Hakuna economic indicator yenye deviation kama GDP. GDP ni uongo mkubwa.
 
Mzee hatuli GDP. Tunakula kodi. Huwezi kutumia GDP kulipa deni la Taifa. Tunatumia kodi kulipa mishahara katika ulinzi na usalama, Utumishi wa umma. Hatutumii GDP. Na kamq GDP haijitokezi katika kodi, ina maanisha ni zero, ni nothing, ni uongo.
 
Mzee hatuli GDP. Tunakula kodi. Huwezi kutumia GDP kulipa deni la Taifa. Tunatumia kodi kulipa mishahara katika ulinzi na usalama, Utumishi wa umma. Hatutumii GDP. Na kamq GDP haijitokezi katika kodi, ina maanisha ni zero, ni nothing, ni uongo.
Umefanya analysis ndogo sana.Kwa mfano tuchukue taasisi zote za Serikali zinazokusanya pesa , unadhani hiyo Mikoa yote itaizisi Mbeya?

-Mapato ya Halmashauri
-Tume ya Madini
-Vyama vya Ushirika wa mazao
-Utalii
-Tanesco
-Ewura
-Mamlaka ya Bandari
-Tazara
-TBS
-Walipakodi wakubwa mfano TBL,Vodacom,Coca-cola,Mbeya Cement nk ,,Mkoa gani utazidi Mbeya ukiacha Dar,Mwanza labda na Arusha ingawa sidhani (10.8T-8.8T=2T),hii ni Gap kubwa.

So inaelekea hujajua vyema tafsiri ya GDP,ukitoa Government Spending kwingine kote ni flow ya hela.
 
How GDP ina account kila activity?
Hakuna economic indicator yenye deviation kama GDP. GDP ni uongo mkubwa.
Uongo upi? Mfano mdogo TBL ,Mo energy,Alaf nk Wana Matawi Mbeya ila wamesajiliwa kama walipakodi wakubwa Kwa Tin namba ya kiwanda Mama Cha Dar so Kodi yake inalipwa Dar ila haiwezi kusoma kwenye TRA Mbeya.

Lakini GDP Ina track source ya Kila activity na ku valuate kwenye currency value ndio inakupa jawabu la mchango wa Uchumi wa Mkoa.

Sasa hiyo haifanyiki Kwa TRA,ndio maana nakwambia hiyo sio Kipimo pekee Cha malipo.

Mwisho mfano Makusanyo ya Halmashauri,mwaka huu 2023/24 Mbeya ni namba 2 baada ya Dar ila hayo hayapo kwenye TRA ila GDP inaya account yakiwemo ya TRA na mengineyo.👇👇
 
Wanaogopa sana hiyo kitu
Hicho ni Kisingizio,kwamba Uwanja wa Ndege wa Mwanza unashindwa kutia ndege zipi ikiwa dreamliner zinatua?

Mbona hatuoni routes za Mwanza to Kampala,Mwanza to Zanzibar,Mwanza to Kigali nk licha ya uwepo wa ndege kubwa zinazofanya safari ndani ya Nchi?

Jibu ni kwamba hakuna Abiria wa Kimataifa.

Wangeongea watu wa Muhimu ningeelewa kwamba Wanabaniwa Kwa sababu ya KIA.
 
Dah!

Hujui maana ya jiografia ilipo Mwanza?

Jiji la Mwanza liwe na ushindani na hizi' satellite' ulizo taja hapa?

Sijui 'background' yako kitaaluma ni nini, lakini hata 'common sense' pekee ingetosha kukuonyesha upungufu mkubwa katika hayo uliyoweka hapo!
Sasa unataka tujadili hisia zako, tuache uhalisia wa mambo yalivyo na yatakavyoendelea kuwa?

Bado naendelea kukupima, lakini kadri ninavyozidi kuona upeo mdogo unaouonyesha hapa katika maswala mengi, ni wazi kuwa kipimo chako ni hafifu.
 
Jiografia hailazimishwi, yaani hayo unayoongea yangeshakuwa yanatokea Hadi Sasa so kuharibu kulazimisha ni kupoteza Nguvu Bure.

Soma hapa Mwanza wamebaki na milima yenye mawe, Dhahabu, Geita, Kwa jicho la ndani, Kufurahia kuzaliwa mkoa mpya Geita,ni maumivu kwa jiji la Mwanza!
 
Hayo yote unayoyasema, na Arusha zipo. Ukiweka utalii, si ndio balaa. Mikoa yote ya kaskazini inafanya vizuri sana kwenye utalii. Arusha ni mkoa wa pili kwa matumizi ya umeme nchini, ni mkoa wa kwanza kwa hoteli kubwa za kitalii.
 
Kuwakamua wafanyabiashara wadogo kwenye leseni na viushuru vya ajabu ndio vinaongeza mapato ya Halmashauri za Mbeya.
 
Arusha kwa miaka mingi imekua ikichangia mno pato la Taifa lakini huduma muhimu hawapewi.

Stendi ya mkoa tu ya maana hakuna.

Barabara za lami chache, maeneo mengi ni vumbi tu.

Wamasai ni kunyanyaswa tu kwa kufukuzwa makazi yao ya asili.
 
Mzee ulizia vizuri makusanyo ya tozo za huduma za taasisi za umma katika ofisi za Kanda ya Kaskazini ambazo nyingi zipo Arusha au ofisi za mikoa na makusanyo ya ofisi za Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ambao nyingi zipo Mbeya. Mbeya ni mkoa mdogo kiuzalishaji isipokuwa mazao ya chakula na kitimoto.
 
Serikali isingeamua kwa makusudi kabisa kuuhujumu mkoa wa mara,makao makuu ya mbuga ya serengeti yangekua ndani ya mkoa wa Mara, hiyo Arusha ingechora chini.
 
Hivi madini ya chunya yako mbeya au songwe mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…