Mikutano mikubwa ya kimataifa Tanzania lazima ifanyikie Arusha na Dar tu?

Mikutano mikubwa ya kimataifa Tanzania lazima ifanyikie Arusha na Dar tu?

Kwa nini mikutano mikubwa ya kimataifa inayofanyikia Tanzania haifanyikii mikoa tofauti kama Dodoma au Mwanza bali mara zote ni Dar es Salaam na Arusha tu?
Gentleman,
ni muhimu kuzingatia mazingira bora ya usalama wa washiriki wa mikutano hiyo, lakini pia ni muhimu kuzingatia miundombinu muhimu ya kutosha na yenye hadhi na viwango vya kimataifa 🐒
 
Kwa nini mikutano mikubwa ya kimataifa inayofanyikia Tanzania haifanyikii mikoa tofauti kama Dodoma au Mwanza bali mara zote ni Dar es Salaam na Arusha tu?
Maybe for logistical reasons. Kwa upande mmoja, wakifanyia Mwanza au Dodoma, inabidi wageni wakamate tena domestic flights. Kwa upande mwingine, wakishatua Dar na mkutano unafanyikia pale, no domestic flight needed. Vile vile, wakitua KIA, a car ride to Arusha is short. Halafu sijui kama kuna 5- or 4-star hotels jijini Dodoma au Mwanza!
 
Kwa nini mikutano mikubwa ya kimataifa inayofanyikia Tanzania haifanyikii mikoa tofauti kama Dodoma au Mwanza bali mara zote ni Dar es Salaam na Arusha tu?
Mwanza? Huko porini marais utawalazs wapi. Arusha na Dsm ni miji ya kimataifa. Mwanza ni mji wa washamba. Unawezaje kulinganisha Arusha na Mwanza? Arusha ina mahoteli makubwa ya kimataifa ht kuliko Dar. Labda uzungumzie Zanzibar
 
Kwa nini mikutano mikubwa ya kimataifa inayofanyikia Tanzania haifanyikii mikoa tofauti kama Dodoma au Mwanza bali mara zote ni Dar es Salaam na Arusha tu?
Unataka ifanyike Kigoma au

Mkuu ,

Any way ngoja nikuelimishe kidogo Mkuuu.

Mikutano kama hiyo inafanyika huko kwa sababu ya miundomindu ya kuweza kuwaacomodate hawa wageni mkuu.
Miundo Mindu iko Dar kwa wingi na ziko standard

Na Arusha Mkuuu soo kuwa mpolee nduguu

Huku kwingine ndio wanajitafuta Tajiri yanguuu.
Kwa ufupi Hospitability industry huko unakotka haipo mkuu
 
Unataka ifanyike Kigoma au

Mkuu ,

Any way ngoja nikuelimishe kidogo Mkuuu.

Mikutano kama hiyo inafanyika huko kwa sababu ya miundomindu ya kuweza kuwaacomodate hawa wageni mkuu.
Miundo Mindu iko Dar kwa wingi na ziko standard

Na Arusha Mkuuu soo kuwa mpolee nduguu

Huku kwingine ndio wanajitafuta Tajiri yanguuu.
Kwa ufupi Hospitability industry huko unakotka haipo mkuu
Mkutano kama huu unaohusu DRC na mgogoro wa maziwa makuu ungefanyikia Kigoma au Mwanza ingekuwa na maana zaidi.
 
Mwanza? Huko porini marais utawalazs wapi. Arusha na Dsm ni miji ya kimataifa. Mwanza ni mji wa washamba. Unawezaje kulinganisha Arusha na Mwanza? Arusha in mahoteli makubwa ya kimataifa ht kuliko Dar. Labda uzungumzie Zanzibar
Mwanza ni porini??
Mwanza hakuna mahoteli makubwa ya kutosha hata mkutano wa SADC?
 
Maybe for logistical reasons. Kwa upande mmoja, wakifanyia Mwanza au Dodoma, inabidi wageni wakamate tena domestic flights. Kwa upande mwingine, wakishatua Dar na mkutano unafanyikia pale, no domestic flight needed. Vile vile, wakitua KIA, a car ride to Arusha is short. Halafu sijui kama kuna 5- or 4-star hotels jijini Dodoma au Mwanza!
Mwanza Airport ni sawa KIA,
Marais wa nchi masikini za Africa hawawezi kulala hotel za nyota 3 ?
 
Siku nyingine wafanyie dodoma, mwanza, mbeya, tanga, moshi, musoma, tabora
Ndio, na huko kwingine kuchangamke badala ya kufunga barabara za Dar tu.
 
Mwanza ni porini??
Mwanza hakuna mahoteli makubwa ya kutosha hata mkutano wa SADC?
Mkuu ndio ukwelii kabisaa

Mkuuu mashamba ya mipunga tuu

Hakuna kingine mwanza Mkuuu soo wajutafute kwanzaa

Swali kwako kwanini Arusha imeshikilia Tourism hub ya nchi hii kwa mdaa na sio Mara yenye Serengeti au morogoro yenye ruaha ,Mikumi ,Seleus ,Kitulo na nyingine kedekede mkuuu
 
Mwanza Airport ni sawa KIA,
Marais wa nchi masikini za Africa hawawezi kulala hotel za nyota 3 ?
Kwani hujui kuwa extravagance ni moja ya tabia za masikini? Kwanini usianze kwa kushangaa entourages zao kwanza?
 
Back
Top Bottom