Miundo mbinu sio Hoteli tu, pia Barabara ni finyu saana na wabunge wa huko wameshindwa kusimamia mipango miji, wawe na mabarabara, sio barabara. Na waanze sasa . Na maegesho ya magari ya wageni na wenyejiMwanza ni porini??
Mwanza hakuna mahoteli makubwa ya kutosha hata mkutano wa SADC?