Mikutano mikubwa ya kimataifa Tanzania lazima ifanyikie Arusha na Dar tu?

Mikutano mikubwa ya kimataifa Tanzania lazima ifanyikie Arusha na Dar tu?

Kwa nini mikutano mikubwa ya kimataifa inayofanyikia Tanzania haifanyikii mikoa tofauti kama Dodoma au Mwanza bali mara zote ni Dar es Salaam na Arusha tu?
Jengeni nyumba za kulala nzuri, five stars hotels and many more for
entertainment
 
Hakuna hoteli za kulala wageni, Mwanza shida ni uwanja wa ndege ni mdogo
Moshi ni mji umekaa kindezi sana., haufai hata kwa mkutano wa wachawi. Mji toka alipoondoka mkoloni uko vile vile. Barabara ni zile zile mbili tu zenye lami.
Wanawake wao sasa wala hawavutuii mwafrika wala mzungu-wanene kama mifuruanje
 
Moshi ni mji umekaa kindezi sana., haufai hata kwa mkutano wa wachawi. Mji toka alipoondoka mkoloni uko vile vile. Barabara ni zile zile mbili tu zenye lami.
Wanawake wao sasa wala hawavutuii mwafrika wala mzungu-wanene kama mifuruanje
Wewe utakuwa ulifika Moshi ya Iramba
 
Kwa nini mikutano mikubwa ya kimataifa inayofanyikia Tanzania haifanyikii miko Bora za kimataifaa tofauti kama Dodoma au Mwanza bali mara zote ni Dar es Salaam na Arusha tu?
Ndio kwenye kumbi Bora za kimataifa zenye kukidhi vigezo vinavyohitajika
 
Sema watu wa Arusha wanapasifia sana kwao, fika sasa ukajionee 😃
Ni kweli, hatà mimi kabla sijafika Mwanza nilihisi labda ni kamji furani ka ovyo, lakini nilipofika na kujionea kwa macho kwakweli nimepongeza jitihada za wana Mwanza.
Katika majiji ya Tanzania Mwanza wanacho cha kujivunia.
Wawekezajì wakajenge hotel nyingi za nyota 5 ili kuongeza mvuto wa jiji hilo la miamba
 
We ndiyo mpuuzi zaidi,
Mkutano unafanyika Dar na si Mwanza wala Arusha.
Hoja yako kwamba Arusha ni jiji na Mwanza ni kijiji ndiyo niliyoijibu.
Ukumbi pekee wa mikutano AICC hautoshi kushusha hadhi ya Mwanza.

Nyie watu wa Arusha inaonyesha ni washamba sana.
Kwamba kwakuwa mnawaona wazungu wengi hapo basi inatosha kufanya Arusha iwe jiji na Mwanza ni kijiji?
Nenda Zanzibar ukaone wazungu.

Wewe ni mshamba mpaka unatia kinyaa.
Kisukuma ni lugha kama kichina.
Tembea duniani ukaone.
Kila mmoja anajiheshimisha kwa lugha yake.
Mimi nitaongea lugha yangu, ni jukumu lako wewe mgeni kujua mimi nimeongea nini.
Mnakimbilia lugha za watu wakati hata kiswahili hamkijui, kwa kuwa nyi washamba.

Kwa kumalizia, mimi nimezaliwa Dar, naishi Dar, lakini nimefika Arusha na pia nimefika Mwanza.
Mwanza haitaifikia Dar kwa siku za karibuni, lakini pia Arusha haitaifikia Mwanza hivi karibuni.
Wana Arusha endeleeni kubebishana na vikongwe walioshindwa maisha ulaya.
Nikutakie ufugaji mwema
 
Back
Top Bottom