Sijawahi ona upuuzi kama huu.kwamba watu wa mikutano unawajua wakoje?? Wanamuda na utalii wamekuja kusuluhisha majanga ya vita?
We ndiyo mpuuzi zaidi,
Mkutano unafanyika Dar na si Mwanza wala Arusha.
Hoja yako kwamba Arusha ni jiji na Mwanza ni kijiji ndiyo niliyoijibu.
Ukumbi pekee wa mikutano AICC hautoshi kushusha hadhi ya Mwanza.
Mwanza bado sana hata hotel za kubeba watu 5000 wazungu hakuna
Nyie watu wa Arusha inaonyesha ni washamba sana.
Kwamba kwakuwa mnawaona wazungu wengi hapo basi inatosha kufanya Arusha iwe jiji na Mwanza ni kijiji?
Nenda Zanzibar ukaone wazungu.
Kingine mwanza wakazi hawajasoma wengi wao mpaka leo mwanza mjini wanaongea kisukuma .wakati arusha vijana wanaongea kifaransa,kijerumani skuizi wanabidii wanajifunza kichina
Wewe ni mshamba mpaka unatia kinyaa.
Kisukuma ni lugha kama kichina.
Tembea duniani ukaone.
Kila mmoja anajiheshimisha kwa lugha yake.
Mimi nitaongea lugha yangu, ni jukumu lako wewe mgeni kujua mimi nimeongea nini.
Mnakimbilia lugha za watu wakati hata kiswahili hamkijui, kwa kuwa nyi washamba.
Kaka nakiri mwanza ina rasilimali na ardhi ya kutosha kuipiku hata dar ila nakuhakikishia kwa sasa bado sana sana sisi huwa tukijanhuko tunaona tuko kijijini
Kwa kumalizia, mimi nimezaliwa Dar, naishi Dar, lakini nimefika Arusha na pia nimefika Mwanza.
Mwanza haitaifikia Dar kwa siku za karibuni, lakini pia Arusha haitaifikia Mwanza hivi karibuni.
Wana Arusha endeleeni kubebishana na vikongwe walioshindwa maisha ulaya.