Bwana Banzi
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 397
- 196
Na ukizaa watoto wa kike tupu, wataitwa kina mwenda na watoto wako wakiolewa na wapare tena ukoo utakuwa umekufaWewe mshana, umeoa Mluguru kutoka koo ya wamwenda. Watoto zako wataitwa kwa Mtala wako, ila mtoto wako wa kiume akizaa watoto wake wakiume ataitwa Mkude( Kung'aro) na Wakike ataitwa Mwenda. Sababu huo ndio ukoo wa mama yake yaani wamwenda..ukoo unatoka kwa mama ila unabebwa na mtoto wa kiume sio wa kike
Dada hii ni nature tu😁😁Wanaume ni waoga sana ndo maana daily kutuchambua wanawake,mara hivi,sijui vile.....siye twawaangalia tu
🤣🤣🤣🥴Dada hii ni nature tu😁😁
Mambo ya kudinyiwa demu yanauma sana, ni vile hujui venye tunafeel ukichapiwa
Unaimagine vle alikua anapelekewa moto 🤣🤣🤣afu Wahuni wakimdaka demu wanaua anakamiwa vbya🤣🤣🤣🥴
Muwe wavumilivu...haya mambo ni kawaida mbonaUnaimagine vle alikua anapelekewa moto 🤣🤣🤣afu Wahuni wakimdaka demu wanaua anakamiwa vbya
We bn wee tulia kwanza, Ngoja ntafute hata wa kusogeza nae siku ya Leo maana hapo wengi wapi ndani ya uwanja huku nje ipo mibibiMuwe wavumilivu...haya mambo ni kawaida mbona
Kujukuu Nini mkuu!?Anaebisha wanaume wa kiluguru hawaishi na kujukuu ukweni atakuwa hawajui waluguru.
Hakika,apuuzweWatu hawaoi kabila huwa wanaoa mtu
Mleta mada hazimo kichwani
Wanaume wa kisambaa hawatunzi na kulea familia zao hilo linajulikana hata kwa wadada wa kisambaa wanaogopa kuolewa nao wanaolewa na makabila mengineKwa upande wa Tanga bahatika kupata msambaa hutojuta maisha yako.
Sio sana hizo ni tabia zaoDawa zitakuwa zinahusika
Mbona huko upareni baba kumla mtotowe nasikia sio ajabu mkuu?Sijaoa mluguru mimi ni mpare na nimeoa upareni kwetu. Sisi wapare ni patrilineal na ndio uanaume sijawahi kuwaza maishani kuwa hata na mchepuko wa kiluguru achilia mbali mke kwasababu nawafahamu tabia zao. Waluguru ni matrilineal kwahiyo kama umeoa huko pole sana usishangae hata watoto wako wakaitwa surname za majina ya uluguruni KWA wajomba zao.
"Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu."1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba.
2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe.
3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama za mawe. Mfano ndugu wote wa ukoo wanaweza kuja kuishi kwako na kama wewe ni mkali na mwenye misimamo basi ukienda kazini mke wako anapika kwako chakula anaenda kulia kwao na ndugu zake. (Kama mnaishi karibu na kwao) na kama u mpole wanapika kwao wanakuja kulia chakula kwako.
4. Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu.
5. Mwanamke wa kiluguru haoni shida kuishi na wanaume wawili kwa wakati mmoja tena wakijuana kabisa.
6. Jambo linaloshangaza wanaume wa kiluguru hawana wivu wa mapenzi. Mwanaume wa kiluguru anaweza kuoa singo maza ambae ameachwa jana na msela anaeishi mtaa huohuo na akalea mtoto au mimba ya mtu anayemjua kabisaaaaa.
Hii ni kweli nakubaliHuwezi mtofautisha mtu na kabila lake kwa sababu maisha ya wengi yapo connected na mizimu ya kabila lake,thou unatoka huko we ni mali ya mzimu wa kabila fulani sababu ya maagano ya mwanzishi wa Kabila husika aliyoingia na mizimu labda tu ukute mtu kajidisconnet na mizimu ya kabila lake.
Ndo maana Pana Tabia mfanano za Kila kabila hizo mfanano wa Tabia uletwa na mizimu.
Kama mtu Hana Tabia za kabila lake amejidisconnet.
Hivi Pangawe iko wapi maana nimekuwa nawasikia wakiwasifia wanawake wa maeneo hayo kuwa ndiyo wazuri wenye kueleweka kuliko wengine wote kabisa1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba.
2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe.
3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama za mawe. Mfano ndugu wote wa ukoo wanaweza kuja kuishi kwako na kama wewe ni mkali na mwenye misimamo basi ukienda kazini mke wako anapika kwako chakula anaenda kulia kwao na ndugu zake. (Kama mnaishi karibu na kwao) na kama u mpole wanapika kwao wanakuja kulia chakula kwako.
4. Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu.
5. Mwanamke wa kiluguru haoni shida kuishi na wanaume wawili kwa wakati mmoja tena wakijuana kabisa.
6. Jambo linaloshangaza wanaume wa kiluguru hawana wivu wa mapenzi. Mwanaume wa kiluguru anaweza kuoa singo maza ambae ameachwa jana na msela anaeishi mtaa huohuo na akalea mtoto au mimba ya mtu anayemjua kabisaaaaa.
Tena ukoo wa mshana huko upareni sijui nn kilitokea wayback,ni koo wanayosema hata upambanaje hutoboi,wanasema eti imelaaniwa,ukiioa au ukiolewa naye maendeleo makubwa sahau.Mfano mimi ni mpare na ukoo wangu ni mshana nikioa mwanamke wa kiluguru wale watoto ni wa nani? Je wataitwa KWA ubini wa waluguru (banzi mloka kobelo mkude) au ataitwa KWA koo za kipare (mshana mbaga msuya mdee mkwizu nk)nk?