Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

Tabia za wanyaturu kbs yan mlemle watoto n mali ya mama, wanawapenda wajomba na mama wadogo kwa wakubwa na ndko wanakotembelea sn kuliko upande wa baba. Huwez skia wanaongelea ba mkubwa au mdogo au shangazi n ngumu sn.
 
Wanaume wa kisambaa hawatunzi na kulea familia zao hilo linajulikana hata kwa wadada wa kisambaa wanaogopa kuolewa nao wanaolewa na makabila mengine
100% upo sahihi! Wanaume wa kisambaa wanazingua sana wanapenda kulelewa..wanawake ndo wachapa kazi sana.
 
Wapare kabila la hovyo sana acha kujifanya balozi wao wana roho ya umaskini, uchoyo, ubahili, umimi, jinsia zote Malaya mbwa, wachawi sanaa, wapare ni nyoka
Japo sio mfuasi wa mambo ya kikabila wala makabila na siamini katika ukabila. Ila Nilishadate na wapare wawili haaa aisee hapo kwenye umalayaa 👐👐
 
Aah wapi hizo tabia za matrilineal societies ni makabila machache sana hapa Tz SIYO ZA KIBANTU, waluguru na wamakonde hayafiki hata makabila 10, na yanaongoza kwa ujinga na umasikini makabila ambayo mtoto ni wa mama na mjomba, wengine wameanza kufuata hv karibuni kutokana na KUPOROMOKA KWA MAADILI NA UHUNI WA MJINI, yaani makahaba flani mama ana watoto watano kila mtoto na babake na hadumu ktk mahusiano, ndiyo mtoto anakuwa wa mama tu.
 
Watu hawaoi kabila huwa wanaoa mtu

Mleta mada hazimo kichwani
Ukweli unauma!! Hata wanyama wana makabila, mbwa wapo hodari kwa kuwinda ulinzi kupigana kunusa kuremba nk sasa wewe chukua mbwa wa urembo weka akulindie nyumba. Hata ktk biashara ukienda kariakoo wamejaa WACHAGGA, WAKINGA na Wapemba, nenda ktk Riadha wamejaa WAMBULU, ambao ktk football huwakuti, nenda ktk elimu wamejaa wahaya , wachaga, wangoni na wanyakyusa hiyo ni Sayansi , kabila lina matter kuchangia tabia ya mtu na ktk every general rule there are exceptions .
 
Urewedi
 
Hizi ni dharau kwa sisi waluguru wa hapa kisaki, mbingu, chita, matombo n.k

Tutakutumia KOMBORA la supersonic iwe funzo kwako
 
Mwanaume wa kiluguru anapewa kiwanja ukweni tena pembeni ya wakwe zake na yeye bila aibu anajenga nyumba ukweni na kuishi hapo bila aibu kitu ambacho sisi wapare hakiwezekani kabisa yani kujenga na kuishi KWA wakwe!
Hata nyinyi wapare msijisifu sana.

Mna makando kando yenu kichefuchefu sana.

Sio mjini sio wakijijini.

Ni vile tunavumiliana tu huku mtaani.

Lakini hakuna mwenye uafadhali.
 
Wasambaa wanaojielewa ni WA korogwe wale wa milimani acha tu mzee.
 
Mfano mimi ni mpare na ukoo wangu ni mshana nikioa mwanamke wa kiluguru wale watoto ni wa nani? Je wataitwa KWA ubini wa waluguru (banzi mloka kobelo mkude) au ataitwa KWA koo za kipare (mshana mbaga msuya mdee mkwizu nk)nk?
Nyie washana si ndio wanasemaga nyie ni MLANGO WA 8
 
Mwanamke ni mwanamke tu labda kama hakupendi
 
Niliwahi shuhudia baba wa kiluguru akila threesome akiwa na mkewe pamoja na mwanae. Walikuwa wamelewa lubega, nyuma ya nyumba wanatandikana bakora huku watu wakiwa mbele ya nyumba wanasakata rumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…