Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

Mila za kushangaza: Maiti ipo mochuary kwa zaidi ya miezi 3

sasa si mpaka wakusanye hela ipatikane ya kushonea vitenge vya bei mbaya pamoja na hela ya wale madansa wa maiti
 
Huwa ni sherehe na kuna mgeni rasmi wakati wa mazishi. Kwa kawaida hapo ndipo inaonesha mtu aliyekuja alikuwa na utajiri kiasi gani. Waghana unaambiwa huwa anakula kwa shida na anatunza fedha itakayotumika katika kuomboleza Kifo chake
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Umewahi kuona kwa wajaluo?
Nao pia wanahifadhi kwa mda mrefu
Ni kweli waluo kutoka Kenya na Tanzania wanautamaduni unaoshabihiana na hawa watu wa west Africa. Naupenda maana haizuii watu kufanya kazi mpk siku ya kuchukua mwili na kuzika.
 
Amesha kaa binamu yangu kwny friji kwa miezi6 USA, yote yanawezekana inategemea mazingira ya kifo chake na alipofia!

Huyu alizaliwa zimbabwe, akakulia zimbabwe(alipo olewa shangazi) ila kabla wazazi wake hawajafa alifanikiwa kuja tanzani na akasoma akamaliza form4 huku na chuo certificate akapata huku, akarudi zimbabwe ila hakuvutiwa kuendelea na maisha ya hapo akaenda south africa akaa huko mpaka alipo pata connection ya usa kama mwanafunzi,

ila sasa ana passport ya south ana passport ya zimbabwe na amekutwa na passport ya tanzania na pote alikua mpita njia tu! Ndugu zake wooote wapo tz hata huko zimbabwe alipo zaliwa walisha fariki wote alibaki yeye tu!

Tanzania tuna muhitaji mtu wetu wakati mtu mwenyewe kaenda usa kutumia pass ya south na south kwnyewe hakua na lolote hata alipo kua kapanga hapajulikani, wampeleke zimbabwe, sawa ndipo alipo zaliwa lakini hakukua na mtu yeyote zimbabwe mwenye habari nae, anakujaje tz!!?

Imebidi wamzikie usa baada ya watu kutoka tz kwenda kumsitiri hukohuko usa, hivyo hata huyo muhanga kunauwezekano kuna shida mahala au ni mapenzi tu ya kutokukubaliana na ukweli kua mzazi wake kafa kweli au lah!
 
Huwa ni sherehe na kuna mgeni rasmi wakati wa mazishi. Kwa kawaida hapo ndipo inaonesha mtu aliyekuja alikuwa na utajiri kiasi gani. Waghana unaambiwa huwa anakula kwa shida na anatunza fedha itakayotumika katika kuomboleza Kifo chake
Duh
 
Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.

Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza...
Mkuu wa west afrika ni kawaida kwao. Rafiki yangu mkameruni aliniambia sisi hatuwapendi ndugu zetu wakifa tunakimbilia kuwazika.

Kuna dada mmoja Mnaija nafanya naye kazi za Voice overs, ilikuwa nadhani mwezi wa 9 aliniambia mama yake kafariki, mimi nikadhani anaenda msibani ila nikawa nashangaa kazi zinaendelea kama kawaida.

Nika assume labda washazika. Mwezi wa 12 mwanzoni, ndipo akaniambia sasa nitakuwa sipatikani kwa wiki 2 naenda kumzika mama yangu.

Sikumuuliza mengi ila nikabaki nastaajabu.
 
Ghana nchi au waghana kitu gani

Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo...
Inasikitisha sana
 
Heri ya mwaka mpya wadau maana mwaka bado mpya huu ndo kwanzaaaa January.

Turudi kwenye mada ya msingi, nina rafiki yangu Mghana alifiwa na mama yake tarehe 17 mwezi wa 10 mwaka jana. Sasa me nlijua msiba ulishaisha ila naona anasambaza tangazo kwamba bi mkubwa atazikwa tarehe 28 mwezi huu...
Ghana mbali, hapa tu kwa wajaluo wanatunza maiti hadi miezi 6.Hii nimeshuhudia
 
Ghana nchi au waghana kitu gani

Ok Kama Ni nchi kwa hio huyo rafiki ako mmoja umefanya tayari nchi nzima ya Ghana Ni kawaida yao? Hukuuliza asili yake kabila no na sababu zilizofanya hayo...
Baba yako alikuwa chifu wa kijiji. Ila hizi mila hizi
 
Usisahau kuangalia Google na majeneza yao,Ni disaster!...kifo kimerahisishwa Sana huko Hadi mtu unakuwa motivated kufariki😁
 
Mamake mzazi alikuwa wa kawaida tu
Kwa hiyo huyo rafiki yako si ajabu alikuwa akihakikisha sherehe ya mwisho ya mama yake ifane. Unajua huwa hata wanahakikisha kuwe na live band etc.

Hapo mghana hali kenke ni mwendo wa fufu, pilau etc Nafikiri ungekwenda ili ukirudi uwasimulie hawa JF jinsi wenzetu badala ya kulia wanafanya sherehe kubwa! Mimi nilikuwa huko nasoma miaka ya mwishoni ya 80s.
 
Ninao wengi huko. That's how they do it.
Usipende ku dramatise kila kitu. Bye
West Africa ndo kawaida Yao dear misiba inakaa mwezi na kitu hivi nadhani wanaangalia nyota pia kutoka kwenye Mila zao hata yule katibu WA UN Koffi Annan alikaa karibu mwezi sijuii ndo akazikwa na wanaheshimu mnoo mila zao
 
Back
Top Bottom