Milango minne ambayo haijawahi kufunguliwa

Thanks a lot mkuu kwa nakala nzuri kama hii

leta nyingine please
 
Wahindi kwa kuhifadhi kumbukumbu wako vizuri na wanaingiza milions of dollar kupitia vivutio vyao,wana temples nyingi Mfano Golden Temple, krishna temple hii IPO dehl na baadhi ya miji mingine Kama Bangalore , lotus temple hii iko Dehl ni multipurpose Temple mtu yoyote anaweza kwenda kuabudu, hawachagui dini uwe mkristu, Muslim, Mbuda ingia Muombe Mungu wako ondoka, hawaruhusu picha ndani ya hii Temple.Na Pia saa ya kuingia mnavua viatu mnaviacha sehemu salama saa ya kutoka mnapitia viatu vyenu mnaondoka. Watu ni wengi wanaoingia na kutoka ila hawawezi kupoteza kiatu cha mtu.
 
Tuangalie milango minne ambayo haijawahi kufunguliwa na kujulikana kilichomo ndani yake.

1. THE TAJ MAHAL
2. THE GREAT SPHINX OF GIZA
3. SREE PADMANA-BHA-SWAMY TEMPLE
4. THE FIRST EMPERO'S TOMB
Yote yamefunguliwa, inajulikana kabisa kuna nini ndani yake.
- Taj Mahal huwa na makaburi mawili ya Shah Jahan na mkewe Mumtaz
- Sfinksi ni sanamu tu ndani yake kuna matofali yaliyotumiwa kutenegneza umbo lake
- hekalu ya Padmanabhaswamy Temple ina (kama kawaida kwa mahekalu ya Wahindu) sanamu mamia ya miungu mballimbali, hasa za Shiva, lingam yake (sanamu ya mboo wa mungu huyu), ya Sridevi-Lakshmi, Bhudevi, Vishnu na Brahma
- kaburi la Qin Shi Huang nchini China pekee haikufunguliwa bado kamili, lakini unataka kuona nini katika kaburi kuliko mabaki ya maiti? Bila shaka pamoja na mapambo maana mapambo mengi yameshafuguliwa katika mashimo yaliyo karibu na kaburi kuu.

Sehemu hizi nne hazina uhusiano wowote kati yao,

Unataka kusema nini?
 
Ushauri wasiifungue kwani kuna wadudu waharibifu haswa pande za uku China Maajuja wa Mahajuji. Wataimailiza Dunia.
 
Tatizo la nyie ni Imani zenu mluzoletewa, badala ya kuwa msaada, imani imekuwa mzigo.
Kivipi?
Wakati wasomi wetu ndio waliopaswa kufanya tafiti na kujua kuna nini ndani na yaliwekwa na nani ?
Wasomi wanapata mpaka Uprofesa wakiwa majalalani bila kuja na jawabu la matatizo makubwa ya waafrika halafu unalaumu dini zilizokuja na mambo yake na ustarabu waka na hazijamlazimisha mtu azifuate.

Ni sawa na ajira hakuna mtu anayelazimishwa kuajiriwa lakini maisha tu ndiyo yatamfanya atafute ajira.
 
Tufanye wote tunatumia literatures za wanahistoria au watunza kumbukumbu mbalimbali ambao wamefuatilia na kugundua kuwa bado mambo mengine hayajapatiwa ufumbumbuzi!

Taj Mahal; hizo secret chambers hajizawekwa wazi kama unavyodai hata serikali ya India haijaliweka wazi hili. Kuna cenotaphs mbili zimekaa kimshazari wengi wanaamini ndio makaburi yao ila kiuhalisia siyo ni sehem ambayo unaweza kuangalia kwa mbali ila huoni kitu. The two secret coffins are in a secret place below the garden level.. In addition people believe may be there can be a big treasure behind those doors. Archaeologists believe that there can be historic documents behind those doors which can change history...
https://www.google.com/amp/s/timeso...o-visit-it-again/amp_articleshow/64635592.cms

The great Sphinx... According to some sources Japanese's are the one's who tried to explore what behind the sphinx but still nothing was yet to be confirmed on the discovered chambers and hidden underground tunnels...


Kuweka records sawa kuwa lengo langu ni nini.. Wenzetu wapo makini sana kwenye kuhifadhi kumbukumbu zao sana as hizo temple, tombs n.k walikuwa wanazika records, treasures, kwa emperors wao wa kipindi hicho, which can lead us to learn more about ancient traditions tofauti kwetu huku ukifukua kaburi utaambulia mifupa tu.. Ndio maana bado watu wapo curious kuinvestigate kunani nyuma ya hizo temple/tombs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…