Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

mwenye picha ya huyu dayfath tuione
 
Umeandika kitaalam sana b… Nimependa kila kitu, fanya umalize leo.
Nitakupa muda, japo jana umeniibia…

Nakupenda we hapo, and I miss you so much.
 
Nilikuwa na mtazamo kwamba mabinti wa Mbeya hawana maajabu Kwa bed, ila wewe unataka kufanya nibadiri mtazamo...

Naomba nilipie hela ya Tuition ili uanze kunipa darasa ili kilaza Mimi nianze kuelewa somo 😜
Babu hebu tupumzishe jamani, we tuition ya nini saa hizi? Au ndio ng’ombe hazeeki maini?

Umenichekesha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…