Tumeshazindikana Mkuu, Lol.Angalia asije na jamaa akakutafutia watu wa kuzindika nyumba yako na wewe.ππ
Aminia mtu wangu wa nguvuYeah! Saguda47 himself! Niaje mkuu
Ukijibiwa nitag mkuu, nami huwa najiulizaKwanin hukumu wanaziandika kwa kiingereza?
Kwani kuna shido?Mmmmhhh
MdakuziiNimeongeza, lakini mimi si mdukuzi. Ni Mdakuzi. Mdukuzi ni mtu mwingine.
Ova
Hakika mkuu!Aminia mtu wangu wa nguvu
Mkuu unachelewa sanaKwenye vijiwe vya gahawa walikuwa wanasemaje
Duh, bibie umeitoa kwenye uvungu wa moyo wako kabisa! Hapana shaka huyu ndiye......................Nakupenda we hapo, and I miss you so much.
Aliyeketi kwenye kiti cha enzi moyoni mwangu.Duh, bibie umeitoa kwenye uvungu wa moyo wako kabisa! Hapana shaka huyu ndiye......................
Hivi hii story iliishaje mkuu?
π πKwani kuna shido?
Yes,....tookn't she?π€π€π€PDF ina kila kitu ila imeandikwa katika ile lugha ambayo inatupiga chenga, ukizingatia Kiingereza chetu ni cha "She took my book, Tookn't she?".
Kuna wakati Wazee tunatamani nyama lakini ndiyo vile hatuna meno ya kutafuna πBabu hebu tupumzishe jamani, we tuition ya nini saa hizi? Au ndio ngβombe hazeeki maini?
Umenichekesha sana.