Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Duh,
Like horror movie ... Sad
 

Stori ya kweli ila anatumia Fasihi(lugha ya Sanaa) kuipa taste.

Mdakuzi Umetisha kwèñye kutia maneno rangi(ladha) na kuweka viungo kwèñye Flow.

Tunasubiri
 
Watu tunapaswa kujua kuwa ukifanya uhalifu mkubwa kama mauwaji ni lazima ujulikane na kukamwatwa.
Hata ukifanya usiku wa manane bila kumshirikisha
mtu.
Kuna Wachawi wanakuona na kuwaambia Polisi.
Cc MshanaJR, 😎
Huwa nashangaa sana anayeshiriki deal ya kuua, kwa nini afanye hivyo wakati hakuna namna ambavyo hatajulikana na kudakwa. Sijui unakuwa umepewa kiasi gani mpaka kurisk maisha yako
 
Inasikitisha sana yaani ameuliwa kisa uongozi wake na ushahidi daah
 
V16 😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…