spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mimi ukinipa kitabu cha kukamua mang'ompeh haraka haraka utakua umenisaidia mwanawaneHapa tutavuluga mada hii...
Kuna kitabu nitawapa kinafundisha jinsi ya kusoma kwa speed...
Elimu yetu Tanzania ni shida Sana, unamaliza chuo kikuu bado "unasoma kwa kutamka kimoyomoyo neno kwa neno"
Duh,Bado ndo ipo kwenye mchakato ila wazee WA kuhisi wanadai jamaa alikuwa anapiga business ya madini na wapakistani akawadhurumu ndo jamaa wakaamua kumuulia mke na house gal Kisha wakammaliza na yeye ila izo ni story kabla ya kesi ngoja tusubiri wakipatikana watuhumiwa na uchunguzi ndo tutaipata vizuri true story
Ni sahihi Mkuu hii ni changamoto.
Tafadhali share nasi hicho kitabu.
Tayari nimekiweka hapaMimi ukinipa kitabu cha kukamua mang'ompeh haraka haraka utakua umenisaidia mwanawane
Hivi unajua kuwa ukiwa una hadithiwa story ya kweli ubongo automatic unakuwa unajua kuwa hii ni kweli lakini kwa hii story yako ni kama una TUNGA TUNGA tu kwa vile majina ya watuhumiwa unayo basi na wewe unatambaa na CHAKI {in kashasha voice }😂😂😂😂😂😂
Huwa nashangaa sana anayeshiriki deal ya kuua, kwa nini afanye hivyo wakati hakuna namna ambavyo hatajulikana na kudakwa. Sijui unakuwa umepewa kiasi gani mpaka kurisk maisha yakoWatu tunapaswa kujua kuwa ukifanya uhalifu mkubwa kama mauwaji ni lazima ujulikane na kukamwatwa.
Hata ukifanya usiku wa manane bila kumshirikisha
mtu.
Kuna Wachawi wanakuona na kuwaambia Polisi.
Cc MshanaJR, 😎
Inasikitisha sana yaani ameuliwa kisa uongozi wake na ushahidi daahDah! Hukumu imemtaja Shahidi 'Noel Kaji Ndassa', mwenyekiti wa mtaa mwatulole. Huyu bwana nae aliuwawa kwa kukatwa mapanga. Za chini chini zikadai alikuwa na ushahidi nyeti dhidi ya hiyo kesi ya milembe. Wakaona wamtangulize mapema. Jalada lake yeye sijui linaendeleaje!
Ndo kutambika huko ila kuzindika inatumika sana kwenye nyumba ama shambakuzindika ni kama kutambika au? hili neno nalisikia sana
🙌Tuoneeni huruma Wazee 🤗
Sikuhizi huko kileleni hatufiki mkuu,vikoba...twawaza pesa muda wote 😥Hahaha...........itakuwa uzoefu na mbinu ndiyo vinatumika wakati huo.
Mtu anakuwa na uwezo wa kujizuia hadi ahakikishe Mwenza wake amefika safari ndiyo naye anafika 😜🏃🏃
V16 😂😂😂😂Hii ni ajabu,...hata mussa alipokuwa misri,...aliua mtu kwa siri, kesho yake akakuta watu wanapigana akaamua kuwaamulia, mmojawapo akaropoka " nani amekufanya kuwa muuamuzi kati yetu, au na sisi unataka utuue ukatufukie kwenye mchanga kama uivyomuua yule mmisri?..."...mussa akasepa kama ngiri mkia juu, V16
Hahaha................kama ndiyo hivyo, sioni Vijana wakifika Umri wetuSikuhizi huko kileleni hatufiki mkuu,vikoba...twawaza pesa muda wote 😥
Mzee wa Turbo🤣V16 😂😂😂😂
Na kazi wanayo... Jitahidini mkifika mvae muende🤦Hahaha................kama ndiyo hivyo, sioni Vijana wakifika Umri wetu
Maana watakuwa wamechoka Kwa nzito mnayowapa ya kuwafikisha Mlima Kilimanjaro 😜
Dudu unamaanisha nini, au kugongwa?Ni ujinga pia,dudu Ina raha yake aisee
YeahDudu unamaanisha nini, au kugongwa?
Well said babu.Hata kama tunatenda dhambi, Mungu atusaidie tusifike huko
Ni aibu na fedheha pia hasa ukishafika kuanzia miaka 45, maana wakati mwingine Ujana huwafanya wengi kuwa vipofu
Japo kugongwa pia utaulizwa ndo niniDudu unamaanisha nini, au kugongwa?
Kwa kweli, vinginevyo wajiandae kufia kwenye kinena 😜Na kazi wanayo... Jitahidini mkifika mvae muende🤦
Kuna uzi mmoja nilicheka sana. 😂Mzee wa Turbo🤣