Milioni 13 ya pesa za tozo yatumika kujenga mradi mkubwa wa maendeleo

Kuna kitu kimoja watu hawaelewi, Haya Mambo sio ya Kumlaumu Mkandarasi wala nini, Kazi hizi zinaandaliwa na wataalamu, Kisha Total Budget inakuja kisha mkandarasi anaomba Kazi, Kikubwa awe within Budget.

Kuna aina mbili za ku itemize, Kuna Lumpsum na Rate ya item moja moja.

Je kama Jengo Pesa zake zilikuwa kwa Lumpsum? utalipa tu!
 
Kwa awamu hii ni kawaida.Maana wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yako.kama wewe kamba yako ni fupi jitahidi uirefushe ili ufaidi kama wanavyofaidi kundi la walamba asali
 
Tozo ni maoni ya wananchi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚~~~Alisikika bwana mmoja mwenye tai ya bendera
 
Kijengo hiko nacho cha kuandaa mkandarasi? Hiko si hata wanakijiji wawili wangepewa kukijenga kwa milioni 1 za ufundi kingekamilika ( material si zaidi ya mil.2)
 
Kijengo hiko nacho cha kuandaa mkandarasi? Hiko si hata wanakijiji wawili wangepewa kukijenga kwa milioni 1 za ufundi kingekamilika ( material si zaidi ya mil.2)
Mkuu kazi za uma zina utaratibu wake, either utumie Force Account au ufanye tendering umpate mkandarasi!

Mkandarasi huyo yeye hu quote kwa gharama zake

NB: Waandaaji wa hizo tender huweka pia chakula yao apo!
 
kajengo kazuri na imara sidhani kama 13m zimetosha maana sisi maliwato 20m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…