Milioni 13 ya pesa za tozo yatumika kujenga mradi mkubwa wa maendeleo

Milioni 13 ya pesa za tozo yatumika kujenga mradi mkubwa wa maendeleo

Kwahio hayo ulioandika yanahalalisha hicho kibanda kugharimu 13m ?
Inaweza kuwa mzee, kwenye issue za Ujenzi mkandarasi ana namna nyingi ya kufidia hasara katika kazi!

Kwa mfano unakuta hakuwa na kazi ya hilo Jengo pekee, unaweza kuta kazi zingine faida haioni.. ila akaamua kuifidia kwenye hicho kibanda.

Bahati mbaya mara nyingi hatuangalii pale pesa ilipopungua bali pale ambapo pesa kuonekana kuzidi
 
Back
Top Bottom