Milioni 13 ya pesa za tozo yatumika kujenga mradi mkubwa wa maendeleo

Kwa awamu hii ni kawaida.Maana wameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yako.kama wewe kamba yako ni fupi jitahidi uirefushe ili ufaidi kama wanavyofaidi kundi la walamba asali
😅😅😅😅
 
Kwani tamko linasemaje?(kuleni kwa urefu wa kamba zenu)
 
Mkuu haya mambo ya LUMPSUM sijui RATE YA ITEM ndio watu wa natumia LOOPHOLE hiyo hiyo kupiga.

Hivi kwa akili ya kawaida, yaani tukiite kibanda sijui nini kinaghalimu 13 million?
 
Una macho lakini huoni. Hata standard ya mortar,blocks ziwe mara tano ya zile za mtaani bado hiyo gharama haiwezi kuwa hivyo. Hauhitaji BOQ kujua uhalisia wa gharama wa hako kajengo hata kama ni ka serikali.
 
Una macho lakini huoni. Hata standard ya mortar,blocks ziwe mara tano ya zile za mtaani bado hiyo gharama haiwezi kuwa hivyo. Hauhitaji BOQ kujua uhalisia wa gharama wa hako kajengo hata kama ni ka serikali.
Wewe activities za huo mradi zinaonekana kwa macho au break through ya BoQ?

Ujue watu ambao hamjawahi fanya ujenzi au ambao hamko kwenye industry ya ujenzi mna matatizo Sana.
 
Serikali uwa inatoa fungu kubwa.chenji wanakula watendaji.
Na hela ya serikali ikishatoka uwa hairudi
 
Mi nikipewa iyo 13 milioni naweza mpaka cctv camera,ac,eletrical fence na bado na ela nyingine nabaki nayo
 
Kwahio hayo ulioandika yanahalalisha hicho kibanda kugharimu 13m ?
 
Kikubwa lipa kodi, lipa tozo.
Matumizi yake usihoji hoji, wala kulaumu una kuwa sio uzalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…