Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kwani sasa hivi kazi za Chama wanazifanyia wapi??.Wajenge ofisi kuu ya chama na ya kisasa kabisa ya Makao Makuu Dar es Salaam. Waachane kabisa na mawazo ya kuzitumia hizo hela kwenye zile oparesheni zao.