Milioni 350 za faini ya kina Mbowe zinazorudishwa na mahakama unashauri zifanye kazi gani?

Walichangiwa wao kama chama sio kama watu binafsi. Zikajenge ofisi kuu ya chama kwani kuna vyama vilinyakua ofisi za umma na kulazimisha ziwe zao baada ya kushindwa kujenga.
 
Kachinjeni ng'ombe mle nyama choma ,munywe na pombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…