Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,170
- 9,500
Hahahaha hii comment ni ya Elungata au mwingine?! Leo hii unaiponda S400 wakati miaka yote ulikua unaisifu humu.Hatari sana,, hizi air defence ziko overated, haijalishi ziwe za Russia ama NATO,, mpaka sasa mchina na iran tu ndio hawajaniangusha kwa air defence. [emoji23]
2-sababu ya kiwaki sana.Hapa panaweza kuwa na Mambo mawili.
1. Ukraine amemshambulia Russia.
2. Russia anajitafutia mandate ya Kufanya full combat bila kulaumiwa.
Du hatari. Kwa hiyo imerejesha majimbo yake 4 na 5 climea?Super pawer wa mchongo anazidi kutembezewa mkong'oto kutoka Kwa kataifa kadogo Tena jirani yake [emoji12]
Hii ndo aibu kubwa zaidi kwa mwaka 2023[emoji848]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Tukirejesha majimbo hata Leo it means vita imeisha! Hivyo lengo la kumpigisha mtu danadana litakuwa halijatimia kikamilifu..,lengo letu ni kumpigisha mtu danadana Mpaka atepete kabisa na ashike adabu..,asirudie Tena kuvamia ardhi ya majirani zake,Du hatari. Kwa hiyo imerejesha majimbo yake 4 na 5 climea?
Mfano hapa Tz, kila kitu magumashi, Hayat alikosea mno kufungana na huu upande.Mkuu nchi zote za kikomunisti uongo ni mwingi sana,kuanzia urusi,china na nchi za afrika zilizowahi ingia huko.
Zile AD za Saudia hazikutengenezwa kuzuia drone ila Urusi ana Pantasir ambapo huko Syria zilionyesha uwezowhat im saying is that basically all AD sucks. Look at Saudi fuel tanks and Israeli ship which had something like AEGIS radar on it was hit. I'm begging to think AD for most part is a money making scam or a work in progress. I dont know what air defence Pakistan has but US just flew helicopters in to get bin laden, noone had any idea they were coming.
Kwanini Ukraine itolee taarifa ya kushambuliwa kwa Russia, taarifa ambayo Wizara ya Russia yenyewe imeshazungumzia. Au huamini taarifa ya Russia, huwa ni waongo au sioHv UKRAINE wanasemaje kuhusu hilo shambulizi maana sijasikia wakisema lolote mpaka muda huuu !!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukraine kwenye engineering sio wa kuwadharau hata kidogo,hata drone za Turkey zinatumia engine zinazotengenezwa na Ukraine. Makombora yaliyozamisha Melivita ya Urusi Moskva yametengenezwa na Ukraine.Halafu drones zilizotumika ni za enzi za soviet union, miaka ya 70,, nina wasiwasi israel wanasaidia kuzisuka upya, utumbo(electronics, sensors, explosive, guidence systems)
Ni hawajaingia kwenye vita serious tukaona hizo air defense systems zao. Angalau iron domes tuliziona zikifanya kazi nzuri.Hatari sana,, hizi air defence ziko overated, haijalishi ziwe za Russia ama NATO,, mpaka sasa mchina na iran tu ndio hawajaniangusha kwa air defence. [emoji23]
Hilo ndilo hasa kusudio na lengo mahsusi ambalo ni mujarabu sana. Yan hakuna kumuacha nusu-nusu kwani anaweza kubweteka na akurudia tena ufedhuli wake wakati lengo mahsusi ni asikae akathubutu kurudia tena kuvamia ardhi ya majirani zake au hata nchi nyinginezo. Ujeuri wake uwe umeisha kabisa-kabisa Atulie kwake tuli huku akiendelea kujitibu majeraha taratiiibu.Tukirejesha majimbo hata Leo it means vita imeisha! Hivyo lengo la kumpigisha mtu danadana litakuwa halijatimia kikamilifu..,lengo letu ni kumpigisha mtu danadana Mpaka atepete kabisa na ashike adabu..,asirudie Tena kuvamia ardhi ya majirani zake,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Tusubiri, tutajionea wenyewe mtanange huo utakavyoendelea. Yajayo yanafurahisha zaidi. Hiyo ndo vita serious inaendelea. Usihagaike kusubiri vita nyingine zaidi ya hiyo mkuu.Ni hawajaingia kwenye vita serious tukaona hizo air defense systems zao. Angalau iron domes tuliziona zikifanya kazi nzuri.
Anajifanya hajui kwamba air defence systems zina matumizi na kazi tofauti. Muulize kwanini Israel ina Iron Dome, Arrow 3 na David's sling kama zote ni air defence systems kwanini hawakutengeneza moja tu. Au kwanini Russia ina S-400 na ina Pantsir, Tunguska na nyinginezoZile AD za Saudia hazikutengenezwa kuzuia drone ila Urusi ana Pantasir ambapo huko Syria zilionyesha uwezo
T14 Armata
Sio kwamba anamuonea huruma mkuu, kina ni kirefu. NATO wametenga pesa ya kuifadhili Ukraine ktk hii vita kwa miaka mitano. Hatari sana.Tatizo la Russia, wana pull punches[emoji2296][emoji16],huwezi ukapigana na adui huku unamuonea huruma,, sasa transformer wanaharibu, wazungu wanajaza mpya na zinafungwa faster,, kiufupi umeme wa ukraine hauharibikiki, kwana magharibi yote wako standby kusaidia na hata uturuki wanataka kutuma meli za kufua umeme ukraine,, Russia anatakiwa kulenga targets za ukweli bila kujali kuumiza hao waukraine, ama sivyo hii ngoma itaenda miaka hata 5,
Pia Russia anatakiwa aingize majeshi via belarus ili aichukue kiev,, alifanya kosa sana kurudisha askari nyuma kutoka kiev,,
Huwezi kupigana na adui yako huku unamuonea imani eti ni dugu moya
Nitajie nuclear bomber mpya duniani ukiachana b21 sky raider.Hana huo ubavu tena. Ameshatepeta mazima. Hiyo milipuko kwenye viwanja 2 vya ndege T-95 ni advertisement(trailer) tu. Shida ya Mrussi ni kwamba alijisahau sana na kuendelea kujilimbikizia na kuhifadhi mazagazaga ya zana-vita za zamani sana e.g. T-95 ni ndege kubwa ya kivita ya 1952. Hata inawezekana hizo nuklia anazojigamba nazo zikawa ni mojawapo katika hayo mazagazaga. Ilipaswa intelijensia yake iwe makini sana na kumsoma Ukraine kabla hajafanya Uvamizi. Kwa maneno ya mitaani = Imekula kwake.
S-400 na Pantsir2 computer software aligorthyms zake hzilikuwa design to detected fighter plane, bombers anti air aircrasts rockets na sio rockets ndogo whose RSC ni ndogo kuwa registerd/detected na radar za S-400 na, Pantsir2.
Hiyo b-21 ni 6Generstion,, hata Russia wanayo kwenye pipeline, na hata mchina atakua nayo pipeline,, lakinj mwisho wa siku , mchina ndio atawapiga bao maana ana uwezo mkubwa wa ku mass produceNitajie nuclear bomber mpya duniani ukiachana b21 sky raider.
Achana pia na zile za kichina ambazo Ni copy ya B 36 na TU 16
Dunia Sasa Bado Haina new bombers zaidi ya b 21 Raider.Hiyo b-21 ni 6Generstion,, hata Russia wanayo kwenye pipeline, na hata mchina atakua nayo pipeline,, lakinj mwisho wa siku , mchina ndio atawapiga bao maana ana uwezo mkubwa wa ku mass produce
Su-57 mpk Leo hawajaanza kumass produce,hyo PAK DA Yao nadhani tutaiona mwaka 2050Hiyo b-21 ni 6Generstion,, hata Russia wanayo kwenye pipeline, na hata mchina atakua nayo pipeline,, lakinj mwisho wa siku , mchina ndio atawapiga bao maana ana uwezo mkubwa wa ku mass produce
Hiyo iliyoonyeshwa ni prototype, hizo kuingia front hata miaka kumi mbele,,Dunia Sasa Bado Haina new bombers zaidi ya b 21 Raider.
B52(1952)
TU 95(1956)
TU 160( 1983)
Nb
Kwenye production Russia na Russia lazima wawe nyuma kwa Sasa coz Hali ya uchumi ya kugharamia madege haya kwa muda mfupi Ni gharama Sana kuanzia design, research nk.
Wakati wachina wanacopy TU na kufanya modifications kwa gharama ndogo
Russia ana Rada za kila aina lkn cha ajabu drone imetoka Ukraine imesafiri mamia ya km mpk kufikia hizo base ambazo zipo 125 miles tu toka Moscow.S-400 na Pantsir2 computer software aligorthyms zake hzilikuwa design to detected fighter plane, bombers anti air aircrasts rockets na sio rockets ndogo whose RSC ni ndogo kuwa registerd/detected na radar za S-400 na, Pantsir2.