Mimea hii inanikosesha (inaninyima) Raha kabisa

Nadhani watu karibia wote hawapendi ila wengi hawajui kwa jina lake ndio maana wajaelewa sehemu zinazoota zina sifa ya kuwa nyepenyepe inayotia kinyaa zikokomaa Sana zinajenga utando utando wa kijani mpaka Kama ukuta inaoza inareta kinya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…