Mimea tiba kupitia mimea ya majumbani

Naomba nitoe shuhuda hapa..

Nilisumbuliwa na sikio mda mrefu na dawa iliyoniponya hadi leo ni hii.
 
Kuna watu hawajui Mbilimbi, hasa ndugu zangu Wasukuma na Wakurya..huu ndio mti wa Mbilimbi na hayo ndio matunda yake..

mbilimbi ni tunda chachu sana....huwa inatumika kutengeneza chachandu...na wengine huwa wanaweka Mbilimbi mbichi kwenye maji ya kunywa ili kuongeza ladha

Sasa kama Kuna mtu unamfahamu anasumbuliwa na Maumivu ya mgongo, magoti au kiuno na anateseka saana huyu ana machaguo mawili ya kutibu UGONJWA wake

CHAGUO LA KWANZA

Chuma majani ya Huo mti WA mbilimbi osha vzr Kisha yachemshe Kwa mda WA dakika 5 hadi 10 baada ya hapo unaweza kunywa glass Moja asubuhi nyingine mchana na yatatu usiku Kwa mda WA siku 14 hapo utakua umetibu tatizo Hilo Maumivu ya joint za mifupa UGONJWA huu kitaalam huitwa Arthritis

CHAGUO LA PILI

La hasha una kipato kzr basi nenda duka la dawa tafuta dawa inaitwa Meloxicam caps au Ibuprofen tabs itakusaidia kukupa nafuu Kwa mda au yakaisha kabisa pia

Ukishapona kabisa njoo inbox unishuru nawafumbua macho na akili mzijue Siri zilizofuchika kwenye mimea na tiba za kisayansi
 
DAWA TIBA ASILI

DAWA YA MENO

Naam wanandugu Leo tupate faida ya mchanganyiko huu 👇

1-KARAFUU
2-MANJANO
3-NDIMU
4-CHuMVI
5-MAFUTA YA ZAITUNI

Huu mchanganyiko unatatua changamoto zote za meno

✔Unaondoa maozo ya meono (kuoza kwa meno)
✔Unaondoa rangi ya njano,weusi au ukungu kwenye meno
✔Unaondoa ganzi ya meno
✔Unaondoa maumivu ya meno
✔Unaimalisha meno na kung'alisha nk

MATAYALISHO
-Karafuu ya unga vijiko 3
-Manjano ya unga vijiko 3
-Chumv kidogo
-matone machache.ya mafuta ya zaituni
-Kamulia ndimu kidogo

Baada ya hapo changanya kwa pamoja ichanganyike vizur

MATUMIZI
👉Tumia huu mchanganyiko kuswakia yani kupigia mswaki (kubrash meno) sungua meno yako aswaaa

Hii inatumika x1 au x2 kwa Sikh

Unaweza kutumia kwa kufululiza kila siku au unaweza kutumia x1 au x2 kwa wiki

Haina dozi tumia mpaka tatizo lako litakapo malizika

Mukawe na afya njema

Mw/amungu ndiye mjuzi zaidi

Kwenye maombi yako kwa muumba na Mimi usisahau kuniombea 🙏🙏🙏🙏

Masagala BRAZA CHOGO
 
Shida ya dawa hizi wakati mwingine zinapelekea kumaliza Figo.Ingependeza pakawa na kipimo kinachooleweka vinginevyo tunaenda kuanzisha tatizo lingine kwa mtu atakayetumia
Na kama una utaalam nazo tafuta mwenye ujuzi nazo akusimamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…