Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

Kwann mkuu
Biological differences zimepelekea utofauti wa majukumu na nafasi katika familia na jamii kati ya mwanaume na mwanamke.

Dunia yetu inajitahidi sana kuondoa utofauti huu. In the long run wanaume wengi watakuwa kama wanawake.

Angalia tu wanaume wengi wanaochukua majukumu ya wanawake, hata haiba yao inakuwa ya kikekike.

NB: Hii post haimhusu mleta mada.
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Kwa mwanaume ukishapita miaka 30 hakikisha ( kama una muda) uwe na ratiba ya mazoezi kila siku. Na kama muda ni mchache basi angalau mara moja kwa week. Katika ratiba yako sijaona hilo
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
tuwekee na ratiba za mkeo

huenda umeolewa unasifiwa bure
 
Biological differences zimepelekea utofauti wa majukumu na nafasi katika familia na jamii kati ya mwanaume na mwanamke.

Dunia yetu inajitahidi sana kuondoa utofauti huu. In the long run wanaume wengi watakuwa kama wanawake.

Angalia tu wanaume wengi wanaochukua majukumu ya wanawake, hata haiba yao inakuwa ya kikekike.

NB: Hii post haimhusu mleta mada.
Biology ipo kwenye kuzaa, kunyonyesha na sexual orientations. Vingine ni maamuzi na kucompromise tu mjuba.
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Kuna siku utaamka asubuhi ukute tanasiko wamefanya yao, watavaa nguo kama vile zimetoka kwenye robota la mitumba... Kuwa makini
 
Wife jioni huwa anapika, akimaliza tunakula na watoto, then inategemea either yeye au mimi huwa tunaosha kabisa vyombo, tunapiga story, tunaangalia movies au tamthilia kama zipo then by saa nne tano hv tayari chagani. Kuna wadau hapo wameshauri tuwe tunapiga pasi usiku, ntalifanyia kazi hilo. Ndoa yangu ina miaka 7 now.
Hongera kwa kuwa kwenye ndoa kwa miaka 7,
Kama maisha ya kila siku yanakamilisha hitaji la moyo wako well and good
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?


Wanawake ni watu wa hovyo sana, baada ya hayo yote anaweza toka nje na kuharibu furaha ya jamaa yote

Ratiba nzuri sana, ila ndugu, miaka 7 michache, hawa wanawake? Aisee sijui walizaliwa na nani?

Mimi nimeshawachoka kabisa, hawana jema, hata ufanyaje wanabaki kuwa wale wale, wasumbufu, washenzy, hovyo.
 
Wanawake ni watu wa hovyo sana, baada ya hayo yote anaweza toka nje na kuharibu furaha ya jamaa yote

Ratiba nzuri sana, ila ndugu, miaka 7 michache, hawa wanawake? Aisee sijui walizaliwa na nani?

Mimi nimeshawachoka kabisa, hawana jema, hata ufanyaje wanabaki kuwa wale wale, wasumbufu, washenzy, hovyo.
Ratiba yako kwa sasa ipoje mkuu
 
Acha kupanic kirahisi hivyo kama mtoto mdogo. Naamka sa 12 nafanya mazoezi kwa nusu saa mpaka dakika 45 naenda kuwaandalia kuku vyakula na maji kwakua kila kitu kipo settled hainichukui muda sana. Nikitoka hapo najiandaa naingia ofisini sa 2.

Ungeweza kunijibu vyovyote ila kuniita kula kulala umenikosea sana mdogo wangu. Kufanya mazoezi siyo lazima usiwe na majukumu. Pangilia muda wako vizuri acha excuses za kimama.
Hahaaaaa maisha yangu ni zoezi tosha. Kuwa na usiku mwema.
 
Niliandika ndefuuuu, nikaja gundua mm nipo single 😂😂😂 anyway, naamka saa 1 na nusu, nakula, naoga,
Saa mbili natoka home,
Narudi saa 6 usiku, nasali, nalala, and the days goes on 😂😂

Nikipata mke na mtoto nitakuja ku update,

Btw, nimependa unavyomsapot mama watoto kulea watoto, inakuwa nzuri sana hio
member since 2017 na hujaoa??🙌
 
Back
Top Bottom