Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Biological differences zimepelekea utofauti wa majukumu na nafasi katika familia na jamii kati ya mwanaume na mwanamke.Kwann mkuu
Dunia yetu inajitahidi sana kuondoa utofauti huu. In the long run wanaume wengi watakuwa kama wanawake.
Angalia tu wanaume wengi wanaochukua majukumu ya wanawake, hata haiba yao inakuwa ya kikekike.
NB: Hii post haimhusu mleta mada.