Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Sijaona sehemu/ratiba ya mazoezi ya viungo
 
watoto wangu wakirudi shule huwa nawauliza maswali haya:
1. siku yako ilikuwaje
2. kitu gani kipya umejifunza leo?
3. kitu gani hujakipenda siku ya leo?
4. hapo shuleni kwenu kuna sheri ipi ambayo unaona haiko sawa?
5. kuna mtu amekukorifisha leo?
6. ulipocheka shule kwa saut kubwa nini kilikufurahisha?
7. kuna swali umemuuliza mwalim darasani ? na ulielewa kila somo ulilofundishwa?
8. njian wakat unaenda au wakati unarudi umeona kitu gani kipya ambacho hujawahi kukiona?..ulikipenda?
9. ratibaya chakula cha mbwa leo ikoje na umecheza mchezo gani leo?..
10. mmefanya homework? na ratiba ya kujisema lweo ni somo gani
11. niulize swali lolote

hayo huwa ndo maswali yangu wa wanangu na huwa tunainjoy sana mazungumzo hayo na wanaipenda session hiyo kinoma.. niwepo home au nisiwepo ntapiga simu tutaongea...
Hii nimeipenda!! Nitaifanyia kazi, malezi ni mchakamchaka sana, usipojitahidi utakuza mabumunda.
 
Ukipata pesa ambazo za maana hiyo ratiba itabadirika, mwanaume huwezi rudi nyumbani saa 11.

Mwanaume akitoka kazini ananipia kwa amina mchepuko kwa waifu anaenda saa 2 usiku.

Sipendi hii comment yangu initokee ila huu ndo ukweli na vile hatupendagi ukweli nasi nitatukanwa.

Sisi wanawake tunajua ratiba ya mwanaume mwenye maokoto na mwanaume unga unga.
Vipi akitoka job akapitia mishe zake za pembeni! Sio lazima awe na mcheps, anaweza kuwa na goli lake linamuingizia 10k anapitia huko kuangalia maendeleo ya hustles zake.
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Unachepuka sa ngapi
 
Kwanini mkeo asiandae nguo zako na watoto usiku,angalau zako bas ikibidi ndio iwe asubuh
Aandae watoto, na ahakikishe wameenda shule wakiwa safi
Sasa kama wewe saa 11 uko nyumbani,mke anarudi saa ngapi na nani anaandaa chakula cha usiku,

Mke akishindwa kumuandaa mume na watoto mpaka kuhitaji usaidizi wako,iko siku atakuambia upike kuna wageni,mke hapaswi kuwa hivyo hapa wanakusifia na kucheka na wewe lakini shughuli ya familia yako unaijua wewe mwenyewe.
Mi mawazo yangu tu
 
Wamama watakusifu sana humu -
Unaratiba nzuri..ingawa wanaume tunamaisha magumu kidogo - sio kama unavyoyaelezea hap😵therwise utakuwa na shida mahali au una- advantage kuliko wanaume wa kawaida wanaojitafuta - au umetengenezewa maisha tayari..
Kuna dereva malori, daladala, bodaboda, kuna wafanyabiashara wanatembea mikoani huko kutafuta fursa, kuna wafanyabiashara jioni ni kutafuta watu wa kuwapa connection , kuangalia kama mambo yataenda, kuna wanajeshi wapo mbali huko kutimiza majukumu yao..n.k wengi wa hizo kazi ni wanaume..

Ratiba yako ni nzuri na wanaume tunaitamani LAKINI ni nadra sana kwa mwanaume kuwa na ratiba CALM kiasi hicho- maisha sio mepesi haya...
Mkuu, Mm kwa ratiba yangu nmefanya hayo, kila mmoja kwa ratiba zake ajitahidi kufanya kilicho sahihi. Ndiyo maana nmeukiza hapo ratiba za wengine ili tujifunze.
 
Yaani kila siku mambo mapya aiseee kazi kazi tuuu mpka unasema hiki nini aiseeeee
 
Kwanini mkeo asiandae nguo zako na watoto usiku,angalau zako bas ikibidi ndio iwe asubuh
Aandae watoto, na ahakikishe wameenda shule wakiwa safi
Sasa kama wewe saa 11 uko nyumbani,mke anarudi saa ngapi na nani anaandaa chakula cha usiku,

Mke akishindwa kumuandaa mume na watoto mpaka kuhitaji usaidizi wako,iko siku atakuambia upike kuna wageni,mke hapaswi kuwa hivyo hapa wanakusifia na kucheka na wewe lakini shughuli ya familia yako unaijua wewe mwenyewe.
Mi mawazo yangu tu
Wife jioni huwa anapika, akimaliza tunakula na watoto, then inategemea either yeye au mimi huwa tunaosha kabisa vyombo, tunapiga story, tunaangalia movies au tamthilia kama zipo then by saa nne tano hv tayari chagani. Kuna wadau hapo wameshauri tuwe tunapiga pasi usiku, ntalifanyia kazi hilo. Ndoa yangu ina miaka 7 now.
 
Nikiamka ninasign in ofisini remotely kisha ninatafuta bar ya karibu nikanywe wakati ninafanya kazi zangu kwa pc (sometimes ninafanyia home sitoki kabisa).

Sina kabisa muda wa kusaidia kazi za nyumbani. Mimi kazi yangu ni moja tu: KUHAKIKISHA HELA HAZIISHI NYUMBANI KWANGU
 
Nikiamka ninasign in ofisini remotely kisha ninatafuta bar ya karibu nikanywe wakati ninafanya kazi zangu kwa pc (sometimes ninafanyia home sitoki kabisa).

Sina kabisa muda wa kusaidia kazi za nyumbani. Mimi kazi yangu ni moja tu: KUHAKIKISHA HELA HAZIISHI NYUMBANI KWANGU
Hongera mkuu, mm siwezi fanya hivyo nahisi roho inanisuta
 
RATIBA YA ASUBUHI
  • Naamka saa 11 au 12 kutegemeana na shughuli za siku.
  • Nikiamka saa 11 ujue na shughuli na mama yoyo.
  • Nikiamka saa 12 cha kwanza nachukua nguo za watoto( wawili wanafunzi) na zangu na kuzinyoosha.
  • Muda huo wife anakuwa anapambana na kuwaogesha. Akimaliza kuwaogesha nampokea kuwapaka mafuta na kuwavalisha ( muda huo wife anakuwa anawapikia breakfast).
  • Baada ya hapo naenza kujiandaa mwenyewe kwa ajili ya kwenda kwenye miangaiko. Asubuhi huwa natoka nao hadi kwenye kituo ambacho huwa wanachukuliwa na school bus.
  • Wakishachukuliwa mm ndo huwa naenda kutafuta usafiri wa kwenda kwenye mihangaiko yangu.

RATIBA YA JIONI
  • Huwa najitahidi by saa 11 niwe home.
  • Nakuta watoto wamerudi muda si mrefu, so naoga then naanza fanya nao home work.
  • Wakamimaliza homework natafuta kinywaji changu pendwa na kuanza kusip nikisubr msosi wa usiku..
  • Wadau kwa ratiba yangu hii nyie mnaionaje, ratiba yako wewe ipoje?
Mazoezi unafaanya sangapi
 
In fifty years; itakuwa vigumu sana kutofautisha wanaume na wanawake.
 
Nnaamka saa 1:45
naoga na kuswaki
nnavaa nakwenda kazini
saa4 chai
saa9 chakula ccha mchana
saa 11 niko geto(unless itokee dhalula)

hapo tuonane kesho yake
mala moja moja kutoka usiku na wana
 
Back
Top Bottom