Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Tuonane basi mkuuNi manyoni kwa mbele kama unaenda Tabora.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuonane basi mkuuNi manyoni kwa mbele kama unaenda Tabora.
Mjiite malofaNa sisi choka mbaya tuji iteje🤒🙄
Wapi sasa bana!! 😂Tuonane basi mkuu
Ndo yule mdogo wako yupo huko😀Ni manyoni kwa mbele kama unaenda Tabora.
binti kiziwi kuwa makin, huyu Jamaa ni nusu albinoo,Tuonane basi mkuu
Haaha huyu anamalizia kusoma chuo kimoja cha mambo ya afya mkuu. Chuo cha kati tho, ndio mnaita Diploma sijui..?Ndo yule mdogo wako yupo huko😀
Nili wahi kwenda kumuona rafiki yangu, chuo Cha kcmc Moshi.Haaha huyu anamalizia kusoma chuo kimoja cha mambo ya afya mkuu. Chuo cha kati tho, ndio mnaita Diploma sijui..?
Sawa KIJANA MDOGO MamaSamia2025 wa MIAKA 38!Mimi ni kijana mdogo wa miaka 38 na mwanachama wa CCM, ninaahidi nikioa nitakuwa na ratiba inayoshahibiana na hii yako. Nitatumia muda mwingi na familia kadiri iwezekanavyo. Ee Mwenyezi Mungu nisaidie.
Sasa maisha gani hayo yapo dull sana?Duh yaani wewe ndio unasema yeye hajazaliwa kuishi anavyoishi?
Cheers.Malengo yangu yamegawanyika. Kuna yangu binafsi na ya familia. Ya familia ni hayo kuwa na furaha, kuwa karibu na familia na kuweka bond nzuri na watoto na mke.
Hivi nusu albino anakuaje kimuonekano? 😂binti kiziwi kuwa makin, huyu Jamaa ni nusu albinoo,
👉 So usije zimia kwa mshituko😀🤣
Si hapa itigi, si upo hapa.Wapi sasa bana!! 😂
Mbuzi wa kafara😆🤣Hivi nusu albino anakuaje kimuonekano? 😂