Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

Kwahio ukituona kijiweni unatuona wazee wa hovyo? Binti umenisikitisha sana.
 
Naona umeamua kumpoteza Baba bora sasa,huko kijiweni anaweza akanogewa na akabadilika,kijiweni ni majungu tu wala hakuna la maana,

Acha niendelee kukomaa na box na hili baridi.

😎
Huku kwetu maisha yanahitaji ujanja janja sana especially kama hujawekeza kiulinzi nyumbani kwako, akikaa kijiweni lisaa once a week ataelewa mengi sana yanayoendelea mtaani kwake. Unless yuko vizuri huku kwetu tunaita β€œkujipata”. Hata kama umejipata kuna namna unahitaji machawa kama bodaboda guys, good for ulinzi shirikishi.

Naamini kwa aina ya utambuzi alionao hawezi pitiwa na upepo wa hovyo.

Anyways, kuhusu β€œhilo baridi” haujaliamulia tu πŸ˜‰πŸ˜…
 
mwanaume hana ratiba mkuu
halafu mbona unaonekana kama unajikomba kwa wife,si bure
 
Mungu mwenyewe alimpenda Adam na matunda ya bure bustanini lakin wapi, jamaa wakamsaliti
Wife ana rafiki yake ,huwa analalamika kuwa mumewe anakaa mno nyumbani ,why hatoki kutembea tembea ,muda wote yuko hom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…